pombe kali
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 312
- 616
Nakumbuka kwenye mwaka 2006 au 2007, yalifanyika maandamano makubwa binafsi nilikutanana nayo maeneo ya Kinondoni Mkwajuni maandamano yalikuwa na dhima ya kufikisha ujumbe kwa taifa la Marekani waandamanaji walisikika wakiimba “Bush gaidi” utaratibu wa maandamano nchini ni pamoja na Kuomba Vibali polisi....leo nimekumbuka na nimetamani kujua ni nani alikuwa nyuma ya maandamano hayo?