You know those big stone structures out in Egypt? The ones which were supposedly built to house the remains of dead pharaohs??? The ones you thought were built by the Egyptians?Well, you are...
Habari ya asubuhi wakuu natumaini muwazima wa afya kwa wale ambao ni tofauti napenda kuwapa moyo mtakua vyema na kurudi ktk kusukuma gurudumu la maendeleo
Acha niende moja kwa moja katika swali...
Kitabu. My Life
Mwandishi.Bill clinton
Mchambuzi.Nanyaro EJ
Dibaji
Mwandishi anasema kuwa alipokuwa kijana mdogo akiwa na matamanio makubwa ya kimaisha,alisoma kitabu fulani ambacho kimekuwa...
Jina la kitabu
Jina la kitabu A Biography of the Continent.
Mwandishi: John Reader.
Mchambuzi: Nanyaro E.J.
Dibaji.
John Reader ambaye ni mwandishi wa Kitabu hiki ni mtoto wa dereva Tax wa...
HORACE Kolimba ni miongoni mwa viongozi waandamizi nchini ambaye Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, alitofautiana naye na baadhi ya wenzake kuhusu masuala ya msingi katika uongozi na mwelekeo...
DOUBLE AGENTS NGULI WANNE KUWAHI KUTOKEA KATIKA ULIMWENGU WA UJASUSI
Mustakabali wa taifa lolote lile hutegemea pamoja na mambo mengine mifumo ya ulinzi, kwani hii ndio nguzo mhimu katika...
Intelijensia inaelezwa kama taarifa za siri zinazokusanywa,kuchakatwa na kuchambuliwa ili kuwezesha serikali kuchukua maamuzi fulani ili kuongeza ufanisi. Umuhimu wa intelijensia haupimwi kwa...
Habari za jioni wana JF.....Tunapoongelea ukatili wa majeshi wengi watakimbilia kuwaza hitler alivyoua wayahudi au Jinsi Mehmet Ali alivyochinja chinja mataifa mbalimbali kwa kuitanua dola yake ya...
Saizi baada ya upinzani Nchini Malawi kushinda ushindi wa kishindo wa urais na ubunge bila shaka upinzani wanawashukuru sana wanajeshi wa Malawi na Majaji Baada ya kukukataa mamilion ya dollar ili...
Sina hakika kama wakati mwenyezi mungu alipoumba dunia aliweka hz nchi km tanzania,malawi,kenya,marekani nk.(naamini hvo sababu hata kwenye biblia hakuna neno marekani wala tanzania)
1.swali...
Wakuu habarini humu,
Kiukweli uchawi ni sayansi kubwa sana tena ina mengi ya kustaajabisha, maajabu yake ni makubwa na yanashangaza.. fikiria kuchoma kisu kwenye kioo ukiwa dodoma na sekunde hiyo...
Kampuni moja ya Uchina imetangaza mpango wake wa kubuni ''mwezi bandia" utakaoangaza miji usiku.
Kwa mujibu wa gazeti la kitaifa la People's Daily, maafisa katika taasisi ya kibinafsi ya masuala...
The belief that God sacrificed God to God to save God's creation from God.
Huitaji kutumia nguvu kubwa sana kama akili yako inaupeo wa kufikiri japo surface thinking..
Wengi wenu humu mmelishwa...
Jamii zetu za Kiafrika na Tanzania kwa upekee wamekuwa wakifanya sayansi hii ingawa miaka ya karibuni umeonekana kumezwa na maendeleo ya sayansi na teknolojia.
Ipo hivi.." Mtu anapokata roho hufa...
Habari msomaji wa uzi huu. Karibu ujifunze mambo mbalimbali katika ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho.
Kama kichwa cha uzi huu inavyosema (Jinsi ya kuthibiti nafsi isitoke kwenye mwili)
Kila...
Jamii ya watu wa Afrika kabla ujio wa wageni kutoka mabara ya Asia,Amerika na nk na kabla ya kurithishwa tamaduni za ughaibuni ilikuwa haijui habari ya adui wa Mungu.
Wa Afika wakiamini yupo...
Wanabodi,
Raisi ndiye kiongozi mkuu katika nchi, japo baadhi ya nchi kiongozi mkuu ni waziri mkuu mfalme au malkia.
Siamini kwamba maraisi wote duniani huwa na nia njema kwa nchi zao, wengine...
Binafsi nachokiona ni ninyume chake!
Sioni faida ya ulimwengu wa kiroho ktk dunia yetu, ila ninachokiona ni hao wanaotumia kuuhubiri ulimwengu huo ndio wanafaidika na dunia ila dunia haifaidiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.