Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni

JF Prefixes:

Habari za jioni wapendwa naomba kuleta uzi huu kwa ajili ya kupeana maarifa kidogo yaliyopo katika jamii yetu. Karibuni. Kama ni mfuatiliaji wa makala ninazozileta humu ndani basi ulishawahi kuona...
2 Reactions
84 Replies
14K Views
Joseph Massino akifahamika Zaidi kama Joey Massino au Big Joey “The Last Don” Don wa Mwisho. Kwa maana baada ya yeye hakuna tena Don mwingine aliyekuja kuwepo. Huyu alikuwa Mbabe wa Familia ya...
18 Reactions
20 Replies
6K Views
Jambo hili hunishangaza sana.Tumeambiwa ulimi wetu una nguvu ya kuumba.Kwa sababu tuliumbwa kwa mfano wa Mungu.Hili nalikubali kwa imani. Ulimi huu ukijitamkia mambo mabaya,hata watu waliosikia...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Juzi kati nimemaliza kusoma kitabu kuhusu Yom kuppur war. Baada ya kipigo kikali cha mwaka 1967 wamisri wakakaa na kujitafakari. wakagundua nguvu kubwa ya Israel ipo kwenye jeshi lao la anga na...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana wa JF Karibu katika uzi huu.Kwasababu sisi ni werevu naomba tuoneshe heshima kwa wengine kabla hatujaenda mbele. Kabla ya kuuliza masuali yangu naamini wazi kuwa kila kitu...
19 Reactions
580 Replies
42K Views
Nimenunua maji ya kunywa kutoka kampuni mbili tofauti. Kilichonifanya nianzishe thread ni baada ya kuona composition (in mg/litre) ya hayo maji kutofautiana kwa mbali sana. Maji one: chloride...
2 Reactions
32 Replies
7K Views
  • Redirect
Habar wakuuu napenda kujua maana halisi ya miedation na jee..kuna faida zip ama hasaraa mana nmeskia kona mbalimbali...kuanzia kwa watu wa mungu na hata wanafunzi.....
0 Reactions
Replies
Views
Niswali ambalo sikuzote hua najiuliza, ikizingatiwa sisi (binaadam) wanyama (simba, paka, nge) na mimea (mchungwa, iriki,mbuyu) sote ni viumbe hai. Kwakua hakuna sehem niliyojifunza kua wanyama...
2 Reactions
78 Replies
15K Views
Habari zenu wakuu, Ni njia ipi nzuri na rahisi ya kumkamata mtu anayetaka kupokea rushwa? Kwa mfano, mtu anataka rushwa ya hela na yuko tayari mkutane sehemu yoyote utakayopanga wewe ili umpe...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kama inavyosomeka mada "Uafrika - Juu ya Yote Wafrika na Afrika", ni makala ninayoiandika, ili wote tutafakari, tujifunze na tuchunguze. ASILI YA NENO AFRIKA Asili ya neno "Afrika" ni neno...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimefikiria sana mateso wanayopata wafiwa pindi wapenzi wao wanapofariki, hubaki na majonzi kwa muda mrefu wakikumbuka enzi za uhai wake, kuna baadhi kutokana na ukaribu waliokuwa na marehemu nao...
7 Reactions
56 Replies
6K Views
Habarini wana jamii... Natumain wote mko poa katika ujenzi wa taifa letu.... back to the topic: katika pitapita yangu ya kujua mambo ya solar system na mambo ya aliens na UFOs nimekutana na hii...
8 Reactions
84 Replies
28K Views
Mnamo mwaka 1946, kundi dogo la wanafunzi watoto wa shule wa nchini Urusi kutoka katika kikundi kidogo kilichojulikana kama "Vladimir Lenin All-Union Pioneer Organization (wapo kama vijana flani...
20 Reactions
28 Replies
6K Views
Its a good monday again with full of question mark in my head,i heard that there will be III WW,nilikuta watu wanazungumzia hili suala kwa undani sana na nikawauliza je causes za hii...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama magazeti ya ippmedia yaliandika habari za kweli kuhusu Quality Group na kama Quality Group wanaona kuwa habari zilizoandikwa na magazeti hayo ni za uongo na za kashfa kwanini Mengi anataka...
3 Reactions
673 Replies
98K Views
ili kupata uhakika. Watu wengi wameharibiwa maisha yao kwa majibu ambayo yalikuwa si ya kweli ~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+ Italian man returns from woodland exile after...
0 Reactions
49 Replies
21K Views
Ufisadi mwingine unajulikana wazi lakini kwa kuwa umewatajirisha wanene, wengi wao, mpaka wakubwa wa polisi wanapokea mishahara kutoka kwa haka katajiri fisadi. Haka katajiri kanafumbiwa macho na...
0 Reactions
37 Replies
9K Views
Mhhhh sijui kama itatuingia akilini Haya ile kampuni iliosifika na ubadhirifu wa fedha na kulitia hasara serikali na taifa kwa ujumla kwa lipa manispaa sh million 1.5 huku wakipata zaidi ya sh...
0 Reactions
49 Replies
8K Views
Nikiwa ni mmoja wa washiriki kupiga kura, nimebaini kwamba nchi yetu ina majasusi imara kabisa katika ukanda huu wa Afrika. Kuna mambo ya msingi kabisa kuhusu usalama na mstakabali wa nchi ambayo...
3 Reactions
80 Replies
24K Views
"Misri ilikua ni Afrika kwa maandishi yake,utamaduni wake na namna yake ya kufikiri" .Hivi ndivyo anavyohitimisha mtaalamu wa masuala ya kale ya Misri(Egyptologist) raia wa Ufaransa Jean...
49 Reactions
358 Replies
40K Views
Back
Top Bottom