Habari za jioni wapendwa naomba kuleta uzi huu kwa ajili ya kupeana maarifa kidogo yaliyopo katika jamii yetu. Karibuni.
Kama ni mfuatiliaji wa makala ninazozileta humu ndani basi ulishawahi kuona...
Joseph Massino akifahamika Zaidi kama Joey Massino au Big Joey “The Last Don” Don wa Mwisho. Kwa maana baada ya yeye hakuna tena Don mwingine aliyekuja kuwepo. Huyu alikuwa Mbabe wa Familia ya...
Jambo hili hunishangaza sana.Tumeambiwa ulimi wetu una nguvu ya kuumba.Kwa sababu tuliumbwa kwa mfano wa Mungu.Hili nalikubali kwa imani.
Ulimi huu ukijitamkia mambo mabaya,hata watu waliosikia...
Juzi kati nimemaliza kusoma kitabu kuhusu Yom kuppur war. Baada ya kipigo kikali cha mwaka 1967 wamisri wakakaa na kujitafakari. wakagundua nguvu kubwa ya Israel ipo kwenye jeshi lao la anga na...
Habari wana wa JF
Karibu katika uzi huu.Kwasababu sisi ni werevu naomba tuoneshe heshima kwa wengine kabla hatujaenda mbele.
Kabla ya kuuliza masuali yangu naamini wazi kuwa kila kitu...
Nimenunua maji ya kunywa kutoka kampuni mbili tofauti. Kilichonifanya nianzishe thread ni baada ya kuona composition (in mg/litre) ya hayo maji kutofautiana kwa mbali sana.
Maji one: chloride...
Habar wakuuu napenda kujua maana halisi ya miedation na jee..kuna faida zip ama hasaraa mana nmeskia kona mbalimbali...kuanzia kwa watu wa mungu na hata wanafunzi.....
Niswali ambalo sikuzote hua najiuliza, ikizingatiwa sisi (binaadam) wanyama (simba, paka, nge) na mimea (mchungwa, iriki,mbuyu) sote ni viumbe hai.
Kwakua hakuna sehem niliyojifunza kua wanyama...
Habari zenu wakuu,
Ni njia ipi nzuri na rahisi ya kumkamata mtu anayetaka kupokea rushwa? Kwa mfano, mtu anataka rushwa ya hela na yuko tayari mkutane sehemu yoyote utakayopanga wewe ili umpe...
Kama inavyosomeka mada "Uafrika - Juu ya Yote Wafrika na Afrika", ni makala ninayoiandika, ili wote tutafakari, tujifunze na tuchunguze.
ASILI YA NENO AFRIKA
Asili ya neno "Afrika" ni neno...
Nimefikiria sana mateso wanayopata wafiwa pindi wapenzi wao wanapofariki, hubaki na majonzi kwa muda mrefu wakikumbuka enzi za uhai wake, kuna baadhi kutokana na ukaribu waliokuwa na marehemu nao...
Habarini wana jamii... Natumain wote mko poa katika ujenzi wa taifa letu....
back to the topic:
katika pitapita yangu ya kujua mambo ya solar system na mambo ya aliens na UFOs nimekutana na hii...
Mnamo mwaka 1946, kundi dogo la wanafunzi watoto wa shule wa nchini Urusi kutoka katika kikundi kidogo kilichojulikana kama "Vladimir Lenin All-Union Pioneer Organization (wapo kama vijana flani...
Its a good monday again with full of question mark in my head,i heard that there will be III WW,nilikuta watu wanazungumzia hili suala kwa undani sana na nikawauliza je causes za hii...
Kama magazeti ya ippmedia yaliandika habari za kweli kuhusu Quality Group na kama Quality Group wanaona kuwa habari zilizoandikwa na magazeti hayo ni za uongo na za kashfa kwanini Mengi anataka...
ili kupata uhakika. Watu wengi wameharibiwa maisha yao kwa majibu ambayo yalikuwa si ya kweli
~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+~+
Italian man returns from woodland exile after...
Ufisadi mwingine unajulikana wazi lakini kwa kuwa umewatajirisha wanene, wengi wao, mpaka wakubwa wa polisi wanapokea mishahara kutoka kwa haka katajiri fisadi. Haka katajiri kanafumbiwa macho na...
Mhhhh sijui kama itatuingia akilini
Haya ile kampuni iliosifika na ubadhirifu wa fedha na kulitia hasara serikali na taifa kwa ujumla kwa lipa manispaa sh million 1.5 huku wakipata zaidi ya sh...
Nikiwa ni mmoja wa washiriki kupiga kura, nimebaini kwamba nchi yetu ina majasusi imara kabisa katika ukanda huu wa Afrika.
Kuna mambo ya msingi kabisa kuhusu usalama na mstakabali wa nchi ambayo...
"Misri ilikua ni Afrika kwa maandishi yake,utamaduni wake na namna yake ya kufikiri" .Hivi ndivyo anavyohitimisha mtaalamu wa masuala ya kale ya Misri(Egyptologist) raia wa Ufaransa Jean...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.