Je, Karma ni nadharia halisi na inayoweza kuthibitika katika maisha ya mwanadamu au ni imani ya faraja tu kwa wasio na uwezo waliokata tamaa?

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,597
46,244
Je Karma ni kitu halisi kinachotenda kazi?

Kama karma ipo kwa nini watu wadhulumaji na watesaji wanaosababisha tabu, mateso na adha kwa wengine iwe katika siasa, dini,kazi,biashara n.k huwa wanafikia mwisho wao baada ya maisha marefu yaliyojaa raha na yasiyo na shida?

Usuli:Karma ni nadharia iliyo zaidi katiki dini ya kibudha na kihindu yenye maana kwamba kila alitendelao mtu atalipiwa kadri ya matendo yake,kama mtu akitenda mabaya atalipwa sawa na mabaya yake na akitenda mema vivyo hivyo.
Karma ni sawa na kisasi katika dini nyingine?

Karma huwa inawapata watu wote kulingana na matendo yao? (haibagui)

Karma ni lazima itokee hapa duniani au inaweza kutokea hata baada ya maisha haya ya sasa?

Kuna mtu yeyote aliyewahi kuona karma ikifanya kazi yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je Karma ni kitu halisi kinachotenda kazi?

Kama karma ipo kwa nini watu wadhulumaji na watesaji wanaosababisha tabu, mateso na adha kwa wengine iwe katika siasa, dini,kazi,biashara n.k huwa wanafikia mwisho wao baada ya maisha marefu yaliyojaa raha na yasiyo na shida?

Usuli:Karma ni nadharia iliyo zaidi katiki dini ya kibudha na kihindu yenye maana kwamba kila alitendelao mtu atalipiwa kadri ya matendo yake,kama mtu akitenda mabaya atalipwa sawa na mabaya yake na akitenda mema vivyo hivyo.
Karma ni sawa na kisasi katika dini nyingine?

Karma huwa inawapata watu wote kulingana na matendo yao? (haibagui)

Karma ni lazima itokee hapa duniani au inaweza kutokea hata baada ya maisha haya ya sasa?

Kuna mtu yeyote aliyewahi kuona karma ikifanya kazi yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewahi siti leo.swali lako wasubilie wakujibu
 
Kama wa nje hawaoni hiyo karma ikifanya kazi wewe umejuaje inawetesa? Haiwezi kuwa ni maneno ya kujifariji tu?
Karma Hutenda Kwa Wakati Sahii Tena Huwatesa Na Kuwapa Shida WENYE KUZONGWA NAYO

UNAWEZA USIONE WEWE WA NJE NINAMNA GANI KARMA INA TAKES OVER ILA MUHUSIKA NDANI ANAKIPATA


KARMA IS MY FRIENDS

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasema yamejaa raha tupu,na siongelei hizo shida za kuumwa kama binadamu yeyote anavyoumwa,nazungumzia shida zitokanazo na karma

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss ndio maana nimeku quote maana umesema maisha yao yana raha bila shida..
Ila anyways shida ni kwamba watu tunatakaga tuione karma ikifanya kazi waziwazi suala ambalo halipo! Watu huwa wanabondwa vizuri na karma kina namna ambayo hata wao wanakuwa hawajui kama ndio inayowasulubu
 
Watu watajuaje karma imefanya kazi yake?
Boss ndio maana nimeku quote maana umesema maisha yao yana raha bila shida..
Ila anyways shida ni kwamba watu tunatakaga tuione karma ikifanya kazi waziwazi suala ambalo halipo! Watu huwa wanabondwa vizuri na karma kina namna ambayo hata wao wanakuwa hawajui kama ndio inayowasulubu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajuaje jambo hili limetokea kwa sababu ya karma? Chukulia mfano wa Iddi Amin anayesadikika ni mmoja wa watu katili aliyepata tokea barani Africa,inasemekana alifanya kila aina ya ukatili na udhalimu,alipinduliwa madarakani na baadaye akaishi miaka mingi huko Saudi Arabia,akafariki kwa matatizo ya figo kama wagonjwa wengine wengi wa figo.
Karma iko wapi katika huu mtiririko wote wa maisha yake?
Karma ipooo na huwa ni impact ya uliyoyafanya. Nothing goes for nothing dunia hii

Sema mimi sijawahi elewa. Kosa la mzazi ila anakuja kusurubishwa mtoto ni kama kuharibu maisha ya mtu kupitia maisha ya mtu mwingine which is bad

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama maisha ya mtoto mwema yanaweza kupatwa na karma mbaya au maisha ya mtoto muovu yanaweza kupatwa na karma nzuri kutokana na maisha ya wazazi wao,Hiyo karma inatenda haki?
Karma ipooo na huwa ni impact ya uliyoyafanya. Nothing goes for nothing dunia hii

Sema mimi sijawahi elewa. Kosa la mzazi ila anakuja kusurubishwa mtoto ni kama kuharibu maisha ya mtu kupitia maisha ya mtu mwingine which is bad

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom