FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Marekani ndilo taifa linaloongoza kiuchumi na kijeshi duniani,lakini kuongoza kwake kunategemea washirika Israel na Ulaya,
Israel wanategemewa ktk teknolojia ya uundwaji wa silaha Kali Kali na maombi kwa Marekani,pia Waisrael wapo Urusi,wanachokifanya wakitoa silaha Toleo jipya Urusi Waisrael wa Marekani wanagundua silaha za kujikinga vilevile kwa Waisrael wa Marekani wakigundua silaha kali,wakati Ulaya ni binamu wa Marekani kiundugu na wanafanya biashara wote,hivyo ikiwa marekani atawapuuza hawa basi ni lazima ataporomoka toka namba moja.
Israel wanategemewa ktk teknolojia ya uundwaji wa silaha Kali Kali na maombi kwa Marekani,pia Waisrael wapo Urusi,wanachokifanya wakitoa silaha Toleo jipya Urusi Waisrael wa Marekani wanagundua silaha za kujikinga vilevile kwa Waisrael wa Marekani wakigundua silaha kali,wakati Ulaya ni binamu wa Marekani kiundugu na wanafanya biashara wote,hivyo ikiwa marekani atawapuuza hawa basi ni lazima ataporomoka toka namba moja.