Jamii Intelligence

Mijadala fikirishi inayoibua fikra mbadala na mpya. Makazi ya wanazuoni
Kumekuwepo mitazamo kinzani ya miaka mingi juu ya muonekano halisi wa Yesu Kristo, Mnazareti, Masihi na Mwana wa Mungu (katika perspective ya kikristo). Kutokana na Yesu kuzaliwa katika enzi za...
1 Reactions
72 Replies
21K Views
wana jamvi, Amani iwe nanyi... Tanzania yetu mwenyezi Mungu ameibariki kuwa na Amani na mshikamano ingawa kuna akina akina bashite and co. wanataka kuigeuza somalia kwa matukio ya...
3 Reactions
55 Replies
10K Views
Elimu yetu ya sasa ni kama chupa tatu kubwa; Moja ya nusu lita, nyingine ya lita moja na nyingine ya lita mbili. Zote hizi baada ya kujazwa maji kiwandani zilifungwa vizibo. Chupa hizi ni...
18 Reactions
23 Replies
5K Views
Habari zenu wanaJamvi Ni wendelezo wa habari za anga za juu (Space) Tiangong-1 neno lenye maana ya "Heavenly Palace" kwa tafsiri isiyo rasmi yaani kasri ya mbinguni ina uzito unaokadiriwa wa 8.5...
5 Reactions
30 Replies
7K Views
Ni vingi ndani ya anga kutushangaza lakini sayari hizi mbili imepita miaka 800 tokea kukutana. Sayari hizo mbili zitakutana kwenye upande wa capricornus Tukio hilo tarehe 31 -12 -2020 Tokea...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Fahamu athari za kuangamia kwa wanadamu Ushawishi wa binadamu Duniani umefikia kiwango ambacho sasa unashawishi matukio yaliopo Wanadamu daima wameathiri kwa njia moja au nyengine masuala yao...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
For years, Black people have been seen and treated as less humans and in some cases were even called monkeys, but recent DNA study proves that Black people are actually the only ones with 100%...
3 Reactions
17 Replies
3K Views
habari ya asubuhi wadau! usiku wa leo ni mara kama ya saba hivi (sio mfululizo lakini) inanitokea ndoto hii ya kuota kuwa kuna radi kali zinapiga! ninakuwa kama niko nusu macho na nusu nimelala...
2 Reactions
19 Replies
9K Views
Ni vigumu sana kuelewa na wakati mgumu kutafuta,labda usubiri maoni au uzi tu. Tuachane na hayo Dunia ina kila ya kilichomo kama makusanyiko yaliyo ndani hapa. Kueleza kwa mambo kama haya ni...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Straight to the topic. Africans wengi wanaamini kwenye dini kuliko chochote kile hapa duniani. Na watu wanaomini kwenye dini wanaamini wapo hapa duniani ili kumuabudu mungu tu na si kingine...
35 Reactions
217 Replies
22K Views
Bill shaka mko poa! mkijiandaa kuuaga mwaka na kuingia mwaka 2021. Niende moja kwa moja ktk hiki ambacho anata kujua kutoka kwenu! Kumegunduliwa virusi vipya vya covid 19 huko Uingereza, na...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Historia ya mnara wa Babeli inaelezwa kwa undani kwenye biblia katika kitabu cha Mwanzo 11 katika mistari michache tu. Hii ni stori fupi tu ya mnara wa Babeli unaweza kusoma kwa undani katika...
31 Reactions
218 Replies
58K Views
Je, Kweli Wanasayansi Wamepata Mashimo Meusi? YAONEKANA kuwa hadithi ya kisayansi—wakati mmoja yalikuwa nyota nyangavu, ambazo zilipoteza mng’ao wake na kuporomoshwa na nguvu zake zenyewe za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dunia imejawa na kila aina ya mambo. Usimuone mtu ni tajiri au maarufu ukatamani utajiri wake au umaarufu wake pasipo kujua anapitia nini au alifanya nini mpaka kufikia hapo alipo. Simaanishi...
24 Reactions
156 Replies
84K Views
Kuna vitu wanadamu tumejaliwa na ubishi hata yesu tukampeleka msalabani na bado vyote kupewa na miujiza ila bado mpaka leo tunabisha tu. Hivi michoro kama hii iliona nini Ombi Tueleze ,kuna...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii ni kufikirisha kabisa ila ni kama ukweli kwa nini! Ulimwengu wa anga kila nyota, tabaka, galaxy na tusivo vijua huko angani vinaleta midaalo mikubwa kutokana na sisi kujua dunia ina majira...
2 Reactions
118 Replies
11K Views
Historia Mnamo mwaka 1938, mwanafizikia wa Kiitaliano Enrico Fermi na washirika waligundua fission ya nyuklia. Waligundua kuwa fission inapofanyika kipindi wakati kiini cha atomiki cha urani-235...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wanajamvi, Kwa muda mrefu nimekua nikitatizwa na jambo la imani kwa upande wa dini hizi mbili za uislam na ukristo. Awali ya yote ningependa kueleweka kuwa nimezaliwa ktk familia ya...
10 Reactions
235 Replies
21K Views
Bado kuna lugha kadhaa za zamani wasomi wa kisasa hawawezi kufafanua, kama hieroglyphics ya Minoan (iitwayo Linear A) au Khipu, mfumo wa ajabu wa Incan wa kuandika kwa mafundo. Alama hizi zina...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimekuwa nikipata mgongano hasa ktk kuelewa ukweli kuhusu Afrika na Muafrika mwenyewe.Katika usomaji wangu wa machapisho mbalimbali na majarida Afrika inaonekana ni sehemu anapopatikana mwanadamu...
1 Reactions
49 Replies
6K Views
Back
Top Bottom