Imeatangazwa kuwa tawi la Alqaeda la Afrika Magharibi linajulikano kama AQIM limemchagua muAlgeria Abu Obaida Yusuf al-Annabi aliyekuwa mjumbe baraza la watukufu wa tawi hilo kuchukua nafasi ya...
Kemikali yoyote au mchanganyiko ambao huleta mabadiliko ya kihisia na ufahamu ni dawa za kulevya.
Matumizi ya dawa za kulevya huleta utegemezi na usugu.
Utegemezi ni hali ya kushindwa kuishi...
Hii ni njia ya kuachia virusi, bacteria au fangasi kwenye jamii ya watu, mazao au mifugo ili kuweza kuwaambukiza kwa makusudi ugonjwa fulani na kuua kila kitu chenye uhai kwenye sura ya ardhi...
Henrietta Lacks: Seli pekee za mwanadamu zilizoendelea kukua na kuzaliana katika maabara
Saa 1 iliyopita
CHANZO CHA PICHA,AP
Maelezo ya picha,
Simulizi yake ilikuwa maafuru kutokana na kitabu...
Ukuu na Mafanikio havipatikani kwa kwenda shule au kwa kuwa na degree. Kama ingekuwa ni shule basi Maprofesa ndo mabilionea wa dunia. Kwenda shule ni kitu kimoja na kufanikiwa kupitia shule yako...
Habari ndugu wana Jamii Intelligence,
Katika kupitia pitia vitabu vyangu siku ya jana, nikapitia kitabu cha mwanafalsafa mmoja aitwae "Walt Whitman Rostow" (Rostow's Stages Of Economic Growth...
SALUTE COMRADES
Hii mijengo hapa chini ni mijengo iliyojengwa miaka mingi zaidi kabla ya Kristo, enzi hizo teknolojia ya usafiri ilikua chini!
Swali ni je, nani aliyezunguka bara moja kwenda...
Mtu kwenda shule ni kitu kizuri na mtu kupata elimu ni kitu kizuri zaidi ili mtu upate elimu siyo lazima uende shule.
NAOMBA TUSIKILIZANE VIZURI
nakumbuka zamani nilipokuwa mdogo baba aliniambia...
Habari za kutwa wana Jf, yawezekana wewe Kama watu wengine wengi umekuwa ukitazama Hollywood movies za agents mbalimbali wa CIA, na ulivutiwa na uwezo wao wa kufikiri kutenda na ku "imagine"...
Watu wengi kwa kutokujua wamekuwa wakiamini kuwa waziri mkuu wa kwanza mwanamke wa India, Indira Gandhi alikuwa mtoto wa Baba wa Taifa la India Mahtma Gandhi. Indira hakuwa mtoto wa Gandhi bali...
Usije sema labda inaweza kua pyramid mimi sizani
Mimi hata siamini kua hii inaweza kua ghali sana!
Wengi mnaweza sema pyramid ilikua ghali sini kweli?
Labda kwa kuangalia nikwa kiasi gani...
Is Tanzania's intelligence apparatus sophisticated enough to have been using modern wiretapping (apart from bugging telephone lines at the Exchanges)?
If they use some form of wiretapping, do...
Wanasayansi wamegundua sayari ambayo inakaribia sana Dunia kwa mazingira na ukubwa wake na ambayo inazunguka nyota ijulikanayo kama Proxima Centauri, iliyo na mfumo unaokaribia zaidi mfumo wetu wa...
Habari wanajukwaa?
Naona kichwa cha habari kitakuwa kimekuvutia na wewe pia.
Hata mimi natamani kufahamu ukweli uliojificha juu ya viumbe hivi kutoka sayari nyingine. Nilishapataga kusikia sana...
Biblia inatuambia hii ndiyo ishara ya mwisho wa ulimwengu.
Watu kujali pesa na kujipenda wenyewe.
Yataibuka Magonjwa ya kuenea
Njaa, Vita baina ya mataifa pamoja uhalifu kushamiri
watu...
PESA NI NINI:
Pesa inatambulika kama nyenzo ya kukuwezwesha kupata kitu au huduma, lakini kwa watu wengine huchukuliwa katika tafsiri tofauti,
Kwa wengine pesa kwao huwa ni ulinzi na furaha na...
1.JOHN F KENNEDY (JFK)
Alikuwa raisi wa 35 wa marekani aliuwa November 22 mwaka 1963 akiwa raisi wa nne kuuawa kwa kupigwa risasi katika historia ya marekani. Akiwa na mkewe, kwenye gari la wazi...
KWANINI AFRICA NI BARA MASIKINI?
Heshima yenu wakubwa na wadogo.
Bara la Afrika ni bara la pili kwa ukubwa baada ya Asia, ni bara lenye kila aina ya utajiri na rasilimali za kutosha.
La...
Amani iwe nanyi!
...
Ivi kuna Mahusiano gani kati ya nyota na matendo ya wanadamu?
...
Kilichonifanya niulize hilo swali niki apa chini:
Kipindi niko mdogo (miaka 12) nilipenda kusikiliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.