Biblia inasemaje kuhusu mwisho wa ulimwengu

Biblia inasemaje kuhusu mwisho wa ulimwengu

Little brain

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2020
Posts
4,395
Reaction score
6,556
Biblia inatuambia hii ndiyo ishara ya mwisho wa ulimwengu.

Watu kujali pesa na kujipenda wenyewe.

Yataibuka Magonjwa ya kuenea
Njaa, Vita baina ya mataifa pamoja uhalifu kushamiri

watu watampinga Mungu..Hadharani

Watoto hawatowatii tena wazazi wao.

Wataibuka manabii wengi wauongo..na watatenda miujiza mingi.kwa kutumia jina la yesu

na mengine mengi katika ufunuo,mathayo.nk

Na haya hayana budi kutokea..
 
Maandiko yanasema..muyaonapo hayo mjue ule mwisho umekaribia..hivyo watakatifu endeleeni kujitakasa.
Watakuja watasema wanahitaji uthibitisho! hawana utofauti na mafarisayo.. kwa vile yesu aliwashinda kwa kutumia biblia nasi hatuna budi kutumia
 
Ila nasikia hii dunia ipo miaka zaidi ya mamilioni!
Mkuu lakini hayo maandiko hayamaanishi' dunia itateketea' ila yanamaanisha ni dalili za yesu kuja kututoa katika utawala wa shetani
 
Biblia inatuambia hii ndiyo ishara ya mwisho wa ulimwengu.

Watu kujali pesa na kujipenda wenyewe.

Yataibuka Magonjwa ya kuenea
Njaa, Vita baina ya mataifa pamoja uhalifu kushamiri

watu watampinga Mungu..Hadharani

Watoto hawatowatii tena wazazi wao.

Wataibuka manabii wengi wauongo..na watatenda miujiza mingi.kwa kutumia jina la yesu

na mengine mengi katika ufunuo,mathayo.nk

Na haya hayana budi kutokea..
Basi muonapo haya tambueni ya kuwa Bwana Yesu yu karibu mlango
 
Back
Top Bottom