KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,213
- 75,716
Natumai mu wazima,
Kama kichwa kinavyouliza ndicho nachotaka kujua.
Tunaona mwezi, dunia, nyota na sayari nyengine zina umbo la duara nimetafakari kwanini vipo hivi nimekosa majibu, then nikaona itakuwa vyema nije niwaulize wadau na wajuzi wa haya mambo.
Nadhani majibu nitayapata.
Karibun.
Kama kichwa kinavyouliza ndicho nachotaka kujua.
Tunaona mwezi, dunia, nyota na sayari nyengine zina umbo la duara nimetafakari kwanini vipo hivi nimekosa majibu, then nikaona itakuwa vyema nije niwaulize wadau na wajuzi wa haya mambo.
Nadhani majibu nitayapata.
Karibun.