Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

Kanda ya ziwa, wajita. Kanda ya kaskazini, wairaq Kanda ya kati wanyamwezi na wanyaturu Kanda ya pwani
4 Reactions
3 Replies
154 Views
Kwa nchi zinazoendelea Vidonda vya tumbo ni mojawapo ya matatizo ya kiafya yanayoathiri watu wengi. Hii inatokea pale ambapo ukuta wa ndani wa tumbo au sehemu ya juu ya utumbo mdogo unapopata...
6 Reactions
45 Replies
652 Views
Aisee hivi vidude vinanitesa nimekunywa kila aina ya matakataka ya dawa za hospitalini na tiba mbadala lakini bado vinanisumbua, angalau kidogo dawa zinaitwa legal kit zinisaidia lakini zingine ni...
19 Reactions
295 Replies
21K Views
Hello jamani hivi mtu akiwa anafanya mazoezi ya kuruka kamba yanasaidia kukata weight? Au tumbo. Please. Wewe unataka kufanya mazoezi au unataka kukata certain parts of the body? Hakuna mazoezi...
2 Reactions
37 Replies
44K Views
Aibu inaweza kuchelewesha kupona tatizo lako la Nguvu za kiume Nguvu za kiume kupungua ni changamoto ya kiafya, si kosa wala aibu. Mwanaume anayezungumza mapema ana nafasi kubwa ya kuelewa chanzo...
3 Reactions
6 Replies
181 Views
Habari wana-JamiiForums, Kufuatia tahadhari za hivi karibuni kutoka Wizara ya Afya kuhusu magonjwa ya mlipuko (kama Ebola na Mpox) katika nchi jirani, ni muhimu kuchukua hatua za haraka kulinda...
0 Reactions
0 Replies
56 Views
Wakuu nina jino la uzeeni limeota mwisho kabisa upande wa juu. Mwanzo nimelivumilia nikajua likiota litapona maumivu, ila yamezidi na nikigusa naona jino linatokezea kwa pembeni nje ya usawa wa...
0 Reactions
2 Replies
109 Views
Uume wangu hausimami nina miaka 41
21 Reactions
171 Replies
3K Views
Tujuzane kuhusu uwiano wa tiba asili kwa mlingano wa tiba za kisasa,na jinsi ya kutumia kufikia kiwango cha tiba kusudiwa. >>Kuna wimbi la vijana wetu kuwa na mwili na sura za kizee,na wazee wetu...
3 Reactions
16 Replies
115 Views
Baada ya Mdau kuandika hoja kuhusu Viongozi wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania (TNMC) akidai wanakaa madarakani kwa muda mrefu bila ukomo wa wazi, hali inayopunguza uwakilishi na kuzuia mawazo...
0 Reactions
2 Replies
128 Views
BAWASIRI NI NINI? Bawasiri ni Ugonjwa unaotokana na kuvimba/kupasuka kwa mishipa ya dawa sehemu ya haja kubwa na kupelekea kuota kwa kinyama/Uvimbe ambao ndio huitwa Bawasiri. Sababu kubwa ya mtu...
2 Reactions
3 Replies
244 Views
Shinikizo la Damu ni nini? Shinikizo la damu ni nguvu ambayo damu hutumia kusukumwa ndani ya mishipa ya damu. Linapokuwa juu kuliko kawaida kwa muda mrefu, linaweza kuharibu moyo, ubongo, figo...
1 Reactions
0 Replies
98 Views
Nashindwa kuelewa baada ya kusumbuliwa na tezi dume nikafanyiwa upasuaji mambo yakawa Safi. Baada ya muda takribani mwaka imerudi tena nini chanzo au upasuaji ulifanywa kwa juu juu tu. Msaada...
5 Reactions
69 Replies
1K Views
Wazee wa chaputa mboo imechubuka kwa ndani, anayejua dawa naomba msaada. Mboo imechubuko kwa ndani syo nje. Miaka ni 25
0 Reactions
0 Replies
96 Views
Ofcourse mimi sijaoa na wala sina mke, ila nimepata kusikia wanawake baada ya kujifungua watoto wao, hukaa siku 40 ambapo anakua anatokwa na nifasi (damu inayotoka baada ya kujifungua). Baada ya...
5 Reactions
35 Replies
541 Views
Nimetafakari sana kisha nikajiuliza, inakuwaje leo hii Teknolojia imekua sana kuliko hata miaka hiyo ulipogunduliwa UKIMWI lakini bado dawa ya kutibu kabisa UKIMWI haijapatikana? Naomba mchango...
7 Reactions
81 Replies
1K Views
Chunusi na Vipele: Chanzo, Sababu, Dalili, Madhara na Jinsi ya Kutunza Ngozi Chunusi na vipele ni matatizo ya ngozi yanayowapata watu wengi, kuanzia vijana hadi watu wazima. Mara nyingi huonekana...
0 Reactions
1 Replies
334 Views
Miezi kadhaa iliyopita nilikubwa na misukosuko mingi sana kimaisha na magonjwa mbalimbali makubwa kuninyemelea ikiwamo high blood presha. Nikiwa kijana kabisa mwenye ndoto za maisha yangu...
29 Reactions
51 Replies
8K Views
Wanasayansi wanatumaini kuwa utafiti huu mpya utakuwa "mwanzo wa sayansi ya kisimi". Hatimaye wamefanikiwa kuchora ramani ya neva za kisimi, miaka mingi baada ya ramani ya neva za uume kuchorwa...
4 Reactions
26 Replies
598 Views
Wakuu Nina omba msaada wa Tiba mbadala kwa anaye fahamu. Natokwa na Damu puani . Ishu imeanza Ijumaa. Ijumaa imetoka mara 1 asubuh. Jumamos mara 2 asubuh na mchana Jumapil mara 5. Asubuh saa 3 na...
7 Reactions
74 Replies
1K Views
Back
Top Bottom