-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️
1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali...
Wakuu naomba msaada.
Nina homa kwa siku 4 sasa. Mwili unachemka, viungo vinauma, najisikia mchovu sana na sina hamu ya kula. Nimemaliza dozi jana usiku lakini bado sijapata nafuu.
Ningependa...
Watanzania wengi wanakula kwa ajili ya kushiba, si kwa ajili ya afya. Nimegundua watu wengi huangalia chakula kwa lengo la kushiba tu bila kujali virutubisho au athari zake kiafya. Mara nyingi...
Nipo hapa Hospitali ya Taifa Muhimbili ya Upanga Kitengo cha Mifupa (MOI) nina mgonjwa ambaye tayari anaingia wiki ya pili tangu alazwe. Changamoto kubwa ni kuwa mgonjwa ana tatizo la mshipa...
Wana Jamii,
Nimeamua kuandika hapa nikiomba ushauri na maombi kwa sababu nina tatizo ambalo limekuwa likinisumbua kwa muda mrefu.
Tatizo langu:
Kwa miezi kadhaa sasa, nimekuwa nikisikia sauti na...
Habri za siku nyingi vipendhy nimerudi tena mgonjwa wenu baadhi ya siku napatwa na hali ya moyo kwenda mbio sana na maskio km yanalia ziiiiiiii na nilishawahi kupima ecg nikaambiwa ipo normal kitu...
Niwe tu mkweli huyu mdudu ananitesa mno sina raha na maisha naona kila rangi za kuumwa jamani baada ya kukaliza dawa nimekaa wiki 3 leo nimepima tena bado imeonekana positive nimepewa dozi...
Kwanza kama hayajavuka Masaa 72, wahi Kituo Cha Afya, upewe Dawa ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya UKIMWI.
Hiyo ni Herpes , Herpes inawapata sana wenye UKIMWI
---
---
---
Thread Rejea:
-...
Ninasumbuliwa na maumivu makali ya meno na fizi ila sina jino lolote lililotoboka wala kukatika maumivu hasa muda wa usiku nashindwa kulala ni makali mno maumivu yanaenda hadi kichani na kweye...
Habari zenu wana JF.
Ninaomba mwenye kujua dawa ya hili donda. Saivi lina miaka zaidi ya kumi, linakauka na kurudia tena.
Hospitali za kawaida mpaka Muhimbili kwa kulazwa mwezi mzima. Limefika...
Habari wana jamii.
Nahitaji msaada wa ugonjwa ambao umempata binti ambaye ni mtoto wa rafiki yangu mwenye umri wa miaka 18.
Binti huyu ameugua ugonjwa ambao umeshindwa kutambulika ni ugonjwa...
Habari wakuu nimekuja kwenu kutaka ushauri?
Mzee wangu alifanyiwa operation ya tezi dume mwaka2016 akawa freshi tu Sasa mwaka Jana mwezi wa 8 alifanyiwa kipimo Cha tezi dume Cha kupitisha kwenye...
Mzee wangu tangu akiwa mtoto aligundulika kuwa na moyo mkubwa na upo upande wa kulia, Tatizo hili limesababisha awe mgonjwa wa Pressure mara kwa mara. Miguu pia inamsumbua kwa nyakati fulani, Kwa...
Je, ni kawaida kwa mwanamke mwenye ujauzito kuwa anatapika frequently kiasi kwamba hakuna chochote anachoweza kula iwe ni maji ama chakula ni lazima atapike?
NI ujauzito wake wa kwanza.📌
dawa...
Kujichua kwa wanawake au kwa lugha ya kitaalamu female masturbation, ni kitendo cha mwanamke kujisisimua kingono mwenyewe kwa kutumia mikono au vifaa (sex toys) ili kupata raha ya kimapenzi au...
Mwongozo wa matumizi ya teknolojia ya akili unde (Artificial Intelligence – AI) katika huduma za utra sound kwa afya ya mama na mtoto unatarajiwa kuwa suluhisho muhimu katika kuboresha ubora na...
Wakuu ni alfajiri hii siku ya leo, usishangae kwa nini nimeshika simu nakukaa kuandika uzi huu badala ya kujifunika gubigubi blanketi, hapo ujue ni kuwa usingizi umenipaa na dakika kadhaa...
Ngozi Inayowasha: Chanzo, Sababu, Dalili, Madhara na Jinsi ya Kujitunza
Ngozi inayowasha ni hali ya kawaida ambayo watu wengi hupitia mara kwa mara. Wakati mwingine inaweza kuwa jambo dogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.