Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!

On JF:

DAWA MUJARRABU YA KUTIBU MENO Mahitaji 1.? Mafuta ya karafuu/clove oil. 2.? mafuta ya Nazi/coconut oil. 3.? Kitunguu maji. 4.? Kitunguu swaum. 5.? Pilipili manga. 6.?Chumvi ya...
3 Reactions
13 Replies
309 Views
Habari zenu wanajamvi. Iko hvi huyu mwanadada anaweza kua na shida Gani? Kwa maelezo yake alikutana na mpenzi wake mwezi mmoja uliopita lakini baada ya hapo ndani ya siku tatu akaaza hisi maumivu...
7 Reactions
79 Replies
1K Views
Jino linaniuma mno Sitaki kung'oa maana nishangoa Moja naogopa mapendo. Mwenye dawa ya dharula ya jino bila kung'oa aniekezee Nahitaji uamuzi wa kung'oa kuziba au kung'oa uwe wa mwisho baada ya...
6 Reactions
28 Replies
354 Views
Kwa mwezi wa tatu sasa, nimekuwa nikusumbuliwa na maumivu ya kifua pamoja na kiungulia. Baada kujaribu kulienda deep tatizo nimegundua nasumbuliwa na hilo tatizo. Naomba msaada wakuu
1 Reactions
69 Replies
716 Views
Nimetoka hospital muda si mrefu, nilikuwa na dalili kama za maleria. Baada ya kupima nimeambiwa nina mchafuko wa damu, nimemuuliza dakatari akasema "hutokea tu". Nimemabatanisha dalili kwenye picha.
0 Reactions
2 Replies
95 Views
Habari za msimu huu wa Kombe la Dunia Wana-JamiiForums! Mambo yamepamba moto, na ratiba ya mechi za usiku inatupa burudani sana. Scenario iko hivi: Mechi imeisha saa sita au saa nane usiku...
0 Reactions
0 Replies
98 Views
Wanasayansi wanatumaini kuwa utafiti huu mpya utakuwa "mwanzo wa sayansi ya kisimi". Hatimaye wamefanikiwa kuchora ramani ya neva za kisimi, miaka mingi baada ya ramani ya neva za uume kuchorwa...
0 Reactions
0 Replies
89 Views
Wakuu Kweli huu mwili wangu hauna shukrani kabisa🥵
10 Reactions
115 Replies
908 Views
Wagonjwa wa Kisukari wanapaswa kuwa makini wanapoondoa nywele zao kutokana na hatari za kuumia ngozi. Hali ya Kisukari mara nyingi husababisha ngozi kuwa laini na mzunguko wa damu kuwa dhaifu...
1 Reactions
1 Replies
69 Views
Nimertumia sana asali, ginger, kitunguu swaaumu limao,. Nimepiga hizo setrizine ila wapi Nimepiga syrups nyingi sana na antibiotics Ila wapi Ngoma wala moyo sina... Nisaidieni dawa bora...
0 Reactions
7 Replies
254 Views
Wakuu kuna dawa gani ya kienyeji ya koo linalouma? Hospitalini napewa tu brufen na anti-biotics ila wapi Karibuni
1 Reactions
7 Replies
123 Views
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Geita (RMO), Dkt. Omary Sukari, alieleza jinsi mradi wa Scaling up Family Planning (SuFP) ulivyosaidia mkoa huo katika kuboresha mifumo ya takwimu na utoaji wa huduma za...
0 Reactions
0 Replies
79 Views
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Dk. Jairy Khanga ameeleza kwa kina kuhusu utekelezwaji wa Mradi wa Scaling up Family Planning (SuFP) Programme katika mkoa wake. Alibainisha maeneo...
0 Reactions
0 Replies
65 Views
1.🖇️ Uvutaji wa sigara 2.🖇️ Unywaji wa pombe 3.🖇️ Utumiaji wa vyakula au vinywaji vywenye Caffeine kama vile Kahawa,Chocolate, Soda nk 4.🖇️ Kula vyakula vyenye mafuta mengi/vyakula...
2 Reactions
6 Replies
131 Views
AINA ZA MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME Kwa bahati mbaya, wanaume wengi hukosa tiba sahihi za nguvu za kiume kwa kushindwa kutambua tatizo husika na dawa wanazopewa zinatibu tatizo gani. Zifuatazo ni...
2 Reactions
11 Replies
484 Views
Binafsi nna mtoto na mwanamke mwingine ila kwa Sasa naishi na mwanamke mwingine tunapitia ugumu kupata ujauzito Sitaki kumlaum mwenzangu natamani nipate hospitali yenye gharama nafuu Dar es...
5 Reactions
5 Replies
189 Views
Dawa zote zinazopatikana mahospitalini na maduka ya madawa zinaletwa kusaidia watu wenye matatizo mbalimbali, japokua baadhi ya dawa hizo huambatana na madhara madogo na makubwa kwenye mwili wa...
6 Reactions
17 Replies
9K Views
Wapendwa sijalala naugilia maumivu jino linanitesa hua linauma linaacha nimetumia dawa dawa hapo kati lakini Leo limeniamulia. Kuhusu kutoa nimetoa meno kama ma 5 tokea udogoni Hadi hivi ukubwani...
7 Reactions
152 Replies
6K Views
Habari, natumaini mkoa poa, kuna yeyeto anaejua tiba ya Genital herpes au aliwai kupata na anakapoma ili aweze nisaidia na mie maana niko navyo sasa ni miaka mwili sijafanikiwa kupona.
6 Reactions
58 Replies
4K Views
-Zipo dalili nyingi ambazo huashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni,dalili hizo ni zifuatazo:⤵️⤵️ 1.🖇️ Kuwaka moto kifuani(Kiungulia) hasa wakati wa usiku au unapolala,hali...
4 Reactions
3 Replies
253 Views
Back
Top Bottom