Dawa ya kutibu UKIMWI

Dawa ya kutibu UKIMWI

Kuna daktari mmarekani anaitwa Dr,. Sebi inasemekana aligundua natural remedies za kuondoa magonjwa mengi ikiwemo diabetes, ukimwi hadi aina kadhaa za cancer. Hiyo ilikuwa in the 90's

Mwaka 1993, alishtakiwa New York na kuamrishwa asidai kuponya magonjwa.

What does this tell us about power and control?
 
Kuna daktari mmarekani anaitwa Dr,. Sebi inasemekana aligundua natural remedies za kuondoa magonjwa mengi ikiwemo diabetes, ukimwi hadi aina kadhaa za cancer. Hiyo ilikuwa in the 90's

Mwaka 1993, alishtakiwa New York na kuamrishwa asidai kuponya magonjwa.

What does this tell us about power and control?
Inasemekana
 
VIrus wako trick sana.

HIV zinajificha ndani ya seli za binadamu.
Mpaka watengeneze dawa ambayo itaweza kuingia ndani ya seli ya binadamu, kuua virus, bila kuua seli ya binadamu.
Na kibaya zaidi seli hizi ambazo viruses wanajificha ni seli kinga ambazo zinatuza kumbukumbu ya magonjwa ambayo yamewahi kuushambulia mwili.
UKikosea hiyo dawa ikaua seli hizi maana yake yale magonjwa ambayo yamewahi kuushambulia mwili yatarudi tena na kuushambulia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom