Baada ya kufanyiwa upasuaji wa Tezi Dume, imerudi tena

Baada ya kufanyiwa upasuaji wa Tezi Dume, imerudi tena

1781496925566.gif
 
Pole sana kwa changamoto hyo.tezi dume inatibika bila operesheni.ni rahisi sana.chukua majani ya mpapai + migomba+mbaazi tengenezea juice ya kijani bila kuchemsha kwnye moto then kunywa asubuh na jioni kikombe cha nusu lita.utapona kabisa huku ukimtegemea MUNGU.
 
Pole sana kwa changamoto hyo.tezi dume inatibika bila operesheni.ni rahisi sana.chukua majani ya mpapai + migomba+mbaazi tengenezea juice ya kijani bila kuchemsha kwnye moto then kunywa asubuh na jioni kikombe cha nusu lita.utapona kabisa huku ukimtegemea MUNGU.
Wewe umewahi kuugua tezi dume ukafanya hivyo au unamgeuza mwenzio shamba darasa?
 
Wewe umewahi kuugua tezi dume ukafanya hivyo au unamgeuza mwenzio shamba darasa?
Wengi walishapona cyo tezi dume tu hadi kansa.nilishasaidia watu wengi wenye matatizo mbalimbali.ushauri n bure ukitaka unachukua hulazimishwi.nilishapona tatizo nilikunao kwakupitia jamiforum kwa kusoma tu comment za watu.
 
Pole sana kwa changamoto hyo.tezi dume inatibika bila operesheni.ni rahisi sana.chukua majani ya mpapai + migomba+mbaazi tengenezea juice ya kijani bila kuchemsha kwnye moto then kunywa asubuh na jioni kikombe cha nusu lita.utapona kabisa huku ukimtegemea MUNGU.
Kuhusu Tiba mbadala ni vema muwe mnatoa taarifa zinazojitosheleza maana dawa ni dawa.
Watu wajue majani ya wingi gani, juice ya kiasi gani (lita), kwa muda wa siku ngapi? Hiyo itasidia kupunguza madhara yatokanayo na hiyo dawa kuwa pungufu au zaidi (Over dose).
Na baada ya hapo mgonjwa asubiri siku ngapi kwenda kupima kuona maendeleo ya hali yake.
 
Back
Top Bottom