Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,216
- 26,675
Tujuzane kuhusu uwiano wa tiba asili kwa mlingano wa tiba za kisasa,na jinsi ya kutumia kufikia kiwango cha tiba kusudiwa.
Mwili ni matunzo pamoja na kula vitu vizuri na kupunguza pombe,sisemi tusinywe hapana Bali tupunguze!>>Kuna wimbi la vijana wetu kuwa na mwili na sura za kizee,na wazee wetu wale wanaojitambua kwa kula vitu ambavyo mwili huitaji,kuonekana bado vijana sana,