Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Mabasi yamepaki abiria wanaangaika usafiri. Huu ni ushamba waendeshaji wanasababisha usumbufu na kero kubwa. Badilikeni mtu amekata tiketi anakaa kituoni dakika 30. Ushamba au dharau
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa sababu umeme umekuwa shida sana serikali ingewekeza hata kwa kushirikiana na watu binafsi kwenye uzalishajimdogo mdogo wa umeme wa maji tuna maeneo mengi sana ambayo ni potential kwa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Abdallah Uledi amesema Tanzania inaagiza kutoka nje tani 2,000 za Samaki kila mwaka. Amesema hii ni aibu kwani wapo Samaki wengi wa aina tofauti...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau Haya ndiyo masharti Mapya kwa watakaoshiriki mnada wa kesho tarehe 24/11/2017 1. Lazima kila mshiriki ajisajiri 2. Kila mshiriki atatoa tshs milioni 2 kabla ya kuanza mnada. Ukishindwa...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Shirika la viwanda Tanzania (CTI), limesema sukari ya viwandani ya wanachama wake imekwama katika bandari ya Dar es salaam kwa wiki mbili sasa jambo linaloweza kuathiri uzalishaji. CTI imesema...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mkurugenzi wa vipindi na matukio wa kituo cha lunginga cha Clouds Tv jijini Daresalaam ndugu Ruge Mutahaba amesema kuna viongozi mabeki kazi yao ni kuzuia kila kitu kwa visingio visivyo na tija...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wakuu. tumshauri Makonda akumbuke cheo ni dhamana na kila lenye mwanzo lina mwisho. duniani walikuepo majabali wakubwa ikiwapo saadam , gaddaf, mugabe , mobutu lakini leo hawapo na madaraka tena...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Leo 23/11/2017 basi ya Mbeya Express inayofanya safari zake Sumbawanga -Dar imezuiwa na Trafic Polisi kwa ubovu wa tairi. Imelazimu wabadili ndo waanze safari saa 1.00 asbh badala ya muda wake wa...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Leo nimelazimika kutoa petrol iliyokuwa kwenye tank ya gari yangu baada ya kusumbua kwa kuzimazima na kutoa milio isiyo ya kawaida. Fundi akanieleza hali hiyo inasababishwa na petol mbaya ndipo...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Kuna video inasambaa tangu jana kwenye mitandao ya kijamii haswa Instagram ikimuonyesha mtoto(Dorcas kama alivyoitwa humo) akichezeshwa wimbo wa chura kweli ile vidio haina maadili kabisa na ni...
20 Reactions
150 Replies
20K Views
Wakuu nimeona mjadala huu na nkaona una mapungufu makubwa nabya kinyonyaji sana kiasi kwamba kuajiriwa sasa kutakuwa ni utumwa zaidi ya ilivyo sasa. Sijazama kuona ukweli wa haya hapa chini...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mabibi na mabwana hamjambo woteee, pole kwa wenye matatizo ya hapa na pale, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. He ni mkoa upi ambao unapambana kila kukicha yawe makazi yako ya kudumu achilia...
3 Reactions
201 Replies
25K Views
Je! Umewahi kutazama watu na kwa kweli ukaitamani furaha yao, ukatamani kuwa wao? Nikupe siri moja kile kinachokufanya utamani kuwa kama wao ni thelusi tu ya maisha yao halisi na kama ungeliona...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hope ur all fine, Mi nadhani ni wakati wa kuzibadilisha policy znazoelekeza usimamizi,matumizi na manufaa ya rasilimali za nchi. Tuchukulie mfano madini,wenzetu Botswana na Namibia wamekua...
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Niko hapa jijini La Paz, nchini Bolivia. Kuna matukio makubwa mawili yametokea. Moja kuna kituo cha habari kimeungua wakati huohuo Chama tawala kilikuwa Ikulu kinavuna na kuwatangaza wanachama...
9 Reactions
51 Replies
5K Views
Salam wakuu...... Zitto alipokuwa anagombea ubunge mwaka 2005 wapinzani wake waliibua hoja kua hajasoma, zitto alionyesha vyeti vyake na hoja hiyo IKAFA. TAFAKARI (1) Mtu yuleyule aliyeisifia...
2 Reactions
94 Replies
14K Views
Hamjambo wana jamvi, mimi nipo safarini kuelekea Harare naenda kum'interview' aliyekuwa firt lady wa Zimbabwe mama Grace Mugabe,je ungependa kutoa swali gani kwake nikaliwakilishe? yakwangu ninayo...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
WAKATI upimaji wa afya bure ukiendelea katika meli maalumu kutoka China, baadhi ya wananchi jijini Dar es Salaam wamegeuza shughuli hiyo kuwa mtaji baada ya kuanza kuuza namba za kadi...
1 Reactions
45 Replies
6K Views
Wanabodi habari ya leo, Binafsi naomba kusema ni vyema kuwajali na kuwahifadhi wapendwa wetu waliotutoka kwa njia nzuri na ambazo ziko kihalali kulingana na mila, desturi, tamaduni na dini...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Meneja wa Nyanza Commercial Farm, Dilipkumar Patel, amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela au faini ya mil. 534 na Mahakama ya Mkazi Kisutu kwa kosa la kukutwa na kucha za Simba. Bw. Patel...
2 Reactions
49 Replies
9K Views
Back
Top Bottom