Clouds FM PB: Masoud Kipanya wape nafasi wenzio kuzungumza!

Jacobus

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
4,681
1,698
Kipindi cha 'Power Breakfast' kina Babra, PJ, Siza, Fredua, Philipp na Masoud ama KP. Tokea KP ajiunge tens na Clouds FM has a katika kipindi hiki cha PB huyu jamaa hawapi nafasi wenzie kutoa mawazo. Amekuwa 'dominant' kama yeye ndo muongoza kipindi, kali zaidi aje mgeni mualikwa hapo ndo anakera maana hamuachii nafasi ya kujieleza nasi kupata kile kilichompeleka hapo. Ombi langu kwake apunguze usemaji ambao hautusaidii bali kutupotezea muda tu na kupoteza maana ya kipindi.
 
Kipindi cha 'Power Breakfast' kina Babra, PJ, Siza, Fredua, Philipp na Masoud ama KP. Tokea KP ajiunge tens na Clouds FM has a katika kipindi hiki cha PB huyu jamaa hawapi nafasi wenzie kutoa mawazo. Amekuwa 'dominant' kama yeye ndo muongoza kipindi, kali zaidi aje mgeni mualikwa hapo ndo anakera maana hamuachii nafasi ya kujieleza nasi kupata kile kilichompeleka hapo. Ombi langu kwake apunguze usemaji ambao hautusaidii bali kutupotezea muda tu na kupoteza maana ya kipindi.
BASHITE kakutuma
 
Kipindi bora kuliko vyote asubuhi ni Morning Magic...

Sema tu hakiskiki mikoa mingi. But its the best.
Nacho kinaanza kupoteza mvuto sijui kwanini. Kwa mtazamo wangu lakini...
 
Kwani we hujui tabia za 'vipanya', huwa havina kawaida ya kutulia...
 
KP ni kichwa sana ila kitu muhimu sana ninachomshauri ni kujitahidi kuandaa maswali kwa umakini anapohoji mtu ....sometimes pamoja na ukichwa wake anauliza maswali kama hakujiandaa na kujikuta anashindwa kuuliza swali vizuri au direct hadi azunguke sana bila kupenda ...otherwise hana mpinzani kwenye morning shows ...
 
Babra,PJ,Siza, Fredua,Philip na Masoud Ukweli ni kukosa ubunifu kwa nini wasibuni vipindi vingine?? Kivipi presenters sita (6) wasimamie Kipindi kimoja?? Ni ulimbukeni, Kipindi kilichokuwa kinanivutia ni Aplifaya pekee Nacho sasa kimeingiliwa kile kidada {MINA} hakieleweki kabisa muda wote kinachekacheka tu
 
hamia e-fm mkuu... kule kuna Joto la asubuhi! hutojuta , au wewe wa mikoani ? vutA subra efm itawafikia
 
Back
Top Bottom