Wakuu nalazimika kuandika haya kwa uchungu na hasira kumekua na diwani mmoja ambae sitamtaja Chama chake kuepuka kuonekana labda nimelizungumza hili kwa kuangalia itikadi ya Chama Chake.
Kifupi...
Watu watatu ambao ni raia wa Somalia wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka sita likiwemo la kuhujumu uchumi na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya shilingi...
Habari!
Poleni na majukumu ya ujenzi wa taifa, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza tunaomba Serikali itupie jicho kwa bandari ya Mtwara. Ukweri ni kwamba kuna tabia za kijinga ambazo...
Imebainika kuwa wakazi wengi wa jiji la Dar es salaam wako hatarini kiafya kutokana na kukabiliwa na maradhi ya moyo, shinikizo la damu maarufu kama presha, uoni hafifu na kisukari.
Ukweli huo...
Bwana Yesu Asifiwe:
Kwanza naomba kudeclare interest kuwa ndugu zangu ikiwemo wazazi wangu ni wakulima wa korosho kwa muda mrefu. Tangu nizaliwe mpaka nafikia umri huu shughuli tunayoitegemea...
Zaidi ya raia mia nane wengi wao wakiwa ni watoto na wanawake kutoka nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameingia nchini katika wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma kuomba hifadhi ya ukimbizi...
1. Wana njaa kali wanatafuta pa kujishibisha
2. Wamekosa ukomavu wa kisiasa, wanafikiri upinzani ni lele mama
3. Wanafikiri upinzani hauna cha kusema angali hata Marekani/Uingereza/Ufaransa...
Mabasi yamepaki abiria wanaangaika usafiri.
Huu ni ushamba waendeshaji wanasababisha usumbufu na kero kubwa.
Badilikeni mtu amekata tiketi anakaa kituoni dakika 30.
Ushamba au dharau
Kwa sababu umeme umekuwa shida sana serikali ingewekeza hata kwa kushirikiana na watu binafsi kwenye uzalishajimdogo mdogo wa umeme wa maji tuna maeneo mengi sana ambayo ni potential kwa...
Wadau
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Abdallah Uledi amesema Tanzania inaagiza kutoka nje tani 2,000 za Samaki kila mwaka.
Amesema hii ni aibu kwani wapo Samaki wengi wa aina tofauti...
Wadau
Haya ndiyo masharti Mapya kwa watakaoshiriki mnada wa kesho tarehe 24/11/2017
1. Lazima kila mshiriki ajisajiri
2. Kila mshiriki atatoa tshs milioni 2 kabla ya kuanza mnada. Ukishindwa...
Shirika la viwanda Tanzania (CTI), limesema sukari ya viwandani ya wanachama wake imekwama katika bandari ya Dar es salaam kwa wiki mbili sasa jambo linaloweza kuathiri uzalishaji.
CTI imesema...
Mkurugenzi wa vipindi na matukio wa kituo cha lunginga cha Clouds Tv jijini Daresalaam ndugu Ruge Mutahaba amesema kuna viongozi mabeki kazi yao ni kuzuia kila kitu kwa visingio visivyo na tija...
wakuu.
tumshauri Makonda akumbuke cheo ni dhamana na kila lenye mwanzo lina mwisho.
duniani walikuepo majabali wakubwa ikiwapo saadam , gaddaf, mugabe , mobutu lakini leo hawapo na madaraka tena...
Leo 23/11/2017 basi ya Mbeya Express inayofanya safari zake Sumbawanga -Dar imezuiwa na Trafic Polisi kwa ubovu wa tairi. Imelazimu wabadili ndo waanze safari saa 1.00 asbh badala ya muda wake wa...
Leo nimelazimika kutoa petrol iliyokuwa kwenye tank ya gari yangu baada ya kusumbua kwa kuzimazima na kutoa milio isiyo ya kawaida. Fundi akanieleza hali hiyo inasababishwa na petol mbaya ndipo...
Kuna video inasambaa tangu jana kwenye mitandao ya kijamii haswa Instagram ikimuonyesha mtoto(Dorcas kama alivyoitwa humo) akichezeshwa wimbo wa chura kweli ile vidio haina maadili kabisa na ni...
Wakuu nimeona mjadala huu na nkaona una mapungufu makubwa nabya kinyonyaji sana kiasi kwamba kuajiriwa sasa kutakuwa ni utumwa zaidi ya ilivyo sasa.
Sijazama kuona ukweli wa haya hapa chini...
Mabibi na mabwana hamjambo woteee, pole kwa wenye matatizo ya hapa na pale, naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
He ni mkoa upi ambao unapambana kila kukicha yawe makazi yako ya kudumu achilia...
Je! Umewahi kutazama watu na kwa kweli ukaitamani furaha yao, ukatamani kuwa wao?
Nikupe siri moja kile kinachokufanya utamani kuwa kama wao ni thelusi tu ya maisha yao halisi na kama ungeliona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.