Random
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 791
- 743
Mada tajwa hapo denchani inahusika
Kuna wakat unaeza kufkir mtu anajina la uani kumbe ndo jina lake la kweli toka amezaliwa, sisemi kina Gudume, Mtanzania kizabizabena n.k ambao wapo humu tuu bali jamii kiujumla
Kuna watu wamepewa majina mabaya na wazaz/walez wao mpaka wao wanajutia (Hii pia ni miongoni 7bu za kuanzishwa kwa nick names), wazazi/walezi/Jamii angalien sana mabalaa mengine mnayapanda wenyewe.. mfno majina kama tabu, chausiku, mkombamboga, maharage, konkii etc
Sababu za kuleta uzi huu, nimektana na jamaa anaitwa Fistula, na yeye yuko comfortable kabisa.. Je wew umekutana na lipi/weka na maana yake
Kuna wakat unaeza kufkir mtu anajina la uani kumbe ndo jina lake la kweli toka amezaliwa, sisemi kina Gudume, Mtanzania kizabizabena n.k ambao wapo humu tuu bali jamii kiujumla
Kuna watu wamepewa majina mabaya na wazaz/walez wao mpaka wao wanajutia (Hii pia ni miongoni 7bu za kuanzishwa kwa nick names), wazazi/walezi/Jamii angalien sana mabalaa mengine mnayapanda wenyewe.. mfno majina kama tabu, chausiku, mkombamboga, maharage, konkii etc
Sababu za kuleta uzi huu, nimektana na jamaa anaitwa Fistula, na yeye yuko comfortable kabisa.. Je wew umekutana na lipi/weka na maana yake