Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Tanzania tuna trafiki wengi vilaza sana na wagumu kuelewa. Unakuta trafiki anasimama katikati ya mstari (chaki) katikati ya barabara huku magari yakipishana kwa kasi. Au mwingine badala ya...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Polisi inawashikilia vijana 33 kwa makosa ya kuwahadaa wasichana kimapenzi ieleweke hapa kosa sio kuhadaa ila ni KUWABAKA. Vijana hao almaarufu kwa jina la beach boys au dunga dunga wanapatikana...
2 Reactions
23 Replies
5K Views
Leo magari ya UDART yalikuja kwa wakati na kwa wingi kiasi kwamba japo tulijaa lakini sio kama siku za nyuma. Nahisi kuna mabadiliko kwenye uongozi.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nimekaa na Kutafakari sana juu ya kile kinachoendelea hapa nchini kwa sasa na PICHA inayokuja kichwani inatisha na inanifanya nipoteze Amani na matumaini. Kwa giza lililopo kwenye picha hii hakuna...
1 Reactions
3 Replies
830 Views
habary zenu mabibi na mabwana!! kuna taarifa zinazagaa eti hakutakua na mauzo ya luku kwa muda wa siku tatu!nimeleta kwenu ili tujuzane kama ni oficial hizi taarifa au ndo upepo tu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wiki kama tatu zimepita nimewahi kuuliza kuhusiana na picha za mawe nilizoziweka hapa wengi walishauri niendelee kuhimiza vijana wachimbe zaidi ili kupata madini mengine, hivyo nami nilifanya kama...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Wakuu habari za jioni,mliopata vitambulisho hivi mlichukua muda gani ,mlipo pigwa picha hadi kupewa vitambulisho ? Jioni njema
0 Reactions
12 Replies
2K Views
IN FACT YAJUE HAYA MAMBO MATANO AMBAYO YANAWEZA KUWA MAGENI KWAKO 01) MTU MREFU ZAIDI ALIE BADO HAI. Ni SULTAN KOSEN mkulima wa kituruki ndie anaeshikilia rekodi ya kuwa mtu mrefu zaidi kwa...
7 Reactions
8 Replies
3K Views
----IN FACT---- FAHAMU AINA YA WATU UNAOTAKIWA KUACHANA NAO MAISHANI MWAKO Unakosa furaha katika maisha yako kutokana na mambo mbalimbali,ikwemo mazingira,hapa namaanisha watu wanaokuzunguka...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau Katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita Jumla ya Wasichana 624 wenye umri chini ya miaka 18 wamejifungua katika vituo mbalimbali vya kutolea huduma za Afya vilivyopo Manispaa ya Mpanda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Rejea mada tajwa hapo juu. Kwa imani ya Makanisa ya wakristo kuna amri 10 za Mungu ambazo wengi wanazofahamu. Sijajua upande wa ndugu zetu Waislamu lakini nina uhakika mambo mengi yanafanana...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
WAMLAWITI MTOTO MDOGO MPAKA KUTOKA MAFUNZA-PEMBA Jeshi la polisi mkoa wa kusini Pemba linawashikilia vijana watatu wakaazi wa machomane wilaya ya chakechake kwa tuhuma za kumlawiti mtoto mdogo wa...
4 Reactions
42 Replies
8K Views
15 of the Best Health Benefits of Smiling | Sunwarrior We spend trillions of dollars every year in the U.S. alone trying to boost our health. With supplements, fitness routines, gym memberships...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za jion wajemani Kuna michezo ya taasisi za umma na makampuni binafsi yana itwa Shimmuta Hii michezo imefunikwa na rushwa sana yaani viongozi wake ni nirushwa tu kira wanachofanya Tunaomba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamvi amani weI nanyi. Kama wasemavyo wana Chadema kama kwenye uchaguzi mdogo kiasi hiki wanalalamika kuchezewa rafu na CCM,tena na kuamua kurudisha majeshi yao nyuma si ni aibu kubwa hata...
0 Reactions
1 Replies
764 Views
WAdau naomba msaaa wajinsi ya kutambua mtu alipo kwakutumia namba yake ya simu maana nikimpigia hapatikani na ilifanyautapeli baada ya kukubaliana kunisaidia ku swap laini akaiswapu kwa mfumo...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Naomba kujua zilipo ofisi za Redio Free Africa hapa Dar es Salaam. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Mtu mmoja mkazi wa Kitongo cha Rose kata ya Magomeni wilayani Kilosa mkoani Morogoro aliyejulikana kwa Jina la Salum Omary (37) amefariki dunia papo hapo baada ya kufukiwa na kifusi cha mchanga...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Zaidi ya watoto 9000 wanakosa haki ya kupata elimu kutokana na wazazi wao kuishi katikati ya hifadhi za misitu wilayani Chunya ambako hakuna miundombinu ya aina yoyote husani inayoweza kuwapatia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwaka 1995 nilikuwa darasa la Sita shule ya Msingi Sunge, wilayani Kahama,Mimi Deogratius Kisandu nilikorofishana na Babu yangu mzaa mama Mzee Tundule a.k.a (Kipungo) ambako nilikuwa naishi...
10 Reactions
22 Replies
5K Views
Back
Top Bottom