Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kama Mwananchi na Mtanzania riba inayotozwa na Mabenki hapa nchini kwa wananchi ni KUBWA SANA. Mfano hai mtu anapokopa anatakiwa kulipa riba ya 19% mpaka 22% wakati mwananchi huyo huyo akiweka...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Awali ya yote napenda kumpa pongezi kubwa Mh Rais kwa kazi nzuri sana anayoifanya hapa nchini,sitazungumza sana mazuri mengi kwa kua sikuja kuyasema hayo kwa leo,nipo hapa kutoa maombi kwake na...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Kwa muda mrefu kibamia limekua neno la huzuni kwa wanaume. Ukiambiwa au usiambiwe bado hilo neno hutokea. Ukipata zigo ukala ukahisi halifurahii moja ya wazo huwa labda ni kibamia... mijadala ya...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwanzoni mwa mwezi huu niliweka uzi wa kutaka kujua watoto waliopotea kibiti na hawajulikani waliko lakini aidha uzi haukuload sawasawa au uliondolewa. Kwa walio karibu na Siro au Kibiti...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tusiilaumu Serikali ya ccm kwa kukandamiza haki na kutumia polisi kujiimarisha kwenye Dola , hii ndiyo hali ya Dunia sasa hivi Watawala hawatakiwi na ina bakia kutumia nguvu tu. Hapa chini...
0 Reactions
1 Replies
861 Views
Wachina pamoja na kula vyakula vingi vya ajabu kama nyoka,mende na punda.Hii tabia yao ya kumpasua mbwa mwenye mimba ili eti watoe watoto kwa ajili ya kitoweo inatia kichefu chefu.Wao wanaamini...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Siri tajwa hapo juu inahusika Kwa kawaida kila mtu hupenda rangi fulani sana kuliko nyingine, inaea kua moja tuu ukatosheka au zaid ya moja, Museveni kwa miaka mingi amekua akivutiwa sana na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natumaini wote mko salama, kama nlivyosema hapo juu, naomba kujua mtandao wa smart hivi bado upo na kama upo ofisi zao zipo wapi kwa hapa DSM? nahitaji laini yao.
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Mwaka 1995 Bukoba Mpango wa kufungua Bukoba University Chini ya Askofu wa KKKT figisu zilitoka kwa meya wa mji wa kipindi hicho na baadhi ya watu wanaojifanya wanafundisha Middlesbough University...
6 Reactions
47 Replies
5K Views
natumaini wazima . Ndugu zangu kuna mtu kanifata kuniomba nimsaidie kuandika barua ya udhamini wa kipindi cha television sasa kiukweli ni uzoefu mpya kabisa kwangu ila nafahamu hapa kuna watu...
1 Reactions
5 Replies
16K Views
Naangalia azam two wabunge Msigwa na Mtolea jinsi wanavyojibu hoja Kwa uhakika.hongereni sana kwa kuwa na uwezo mkubwa wa kuchambua mambo
1 Reactions
8 Replies
2K Views
UJENZI wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JKIA), Terminal 3 hadi sasa umefikia asilimia 67 huku ukitarajiwa kukamilika Septemba mwakani na hivyo kuwezesha zaidi ya abiria milioni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mahakama ya Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi imemhukumu Mkazi wa Kijiji cha Itenka, Wilaya ya Mpanda kifungo cha miaka 20 jela baada ya kutiwa hatiani kwa kukutwa na nyama ya kiboko zaidi ya kilo...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Serikali imeshauriwa kuharakisha upitishaji na utekelezaji wa mkakati wa kitaifa wa kuzuia unyanyasaji na mauaji ya wazee nchini utakaosaidia kuundwa kwa Baraza la Wazee na kujenga jamii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimatumaini yangu kuwa hamjambo wapendwa katika bwana, bila kupoteza muda naomba niende kwenye hoja yangu Kama nilivoleta Uzi wangu wa kuwataka wana jf wanisaidie kwa mambo matatu ambayo...
5 Reactions
89 Replies
7K Views
Naomba kujibiwa maana website ya Sumatra imeshindwa kunijibu viwango vilivyopo ni vya 2013 sijui afisa habari wao anakazi gani.
1 Reactions
25 Replies
11K Views
Jionee wataalam wakifanya maarifa ya kutoa gari kwwnye Tope nzito! Usisahau KuSUBSCRIBE channel yetu, Katibu.
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kitarungu Wilayani Serengeti, Thomas Marwa ametwangwa makonde na mwalimu mwenzake akiwa ofisini kwake. Tukio hilo lilisababisha masomo na shughuli zingine...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ifikapo Desemba 10 kila mwaka, dunia huadhimisha siku ya Azimio la Haki za Binadamu lililoasisiwa mwaka 1948 na kuwa tamko rasmi linaloainisha haki za msingi ambazo kila binadamu anatakiwa...
0 Reactions
1 Replies
728 Views
Mpendwa Waziri Mhe.Jenista Mhagama, Nakusalimu katika uzalendo wa kulijenga taifa letu la Tanzania, ni matumaini yangu wewe ni mzima wa afya kimwili, kiroho na kiakili. Mungu azidi kukulinda na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…