Col FEN
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 327
- 460
Tusiilaumu Serikali ya ccm kwa kukandamiza haki na kutumia polisi kujiimarisha kwenye Dola , hii ndiyo hali ya Dunia sasa hivi Watawala hawatakiwi na ina bakia kutumia nguvu tu.
Hapa chini kijana wa Kipalestina aki adabishwa na Jeshi la Israel kwa hakika Watawala / CCM bila Polisi ni wepesi sana.
Hapa chini kijana wa Kipalestina aki adabishwa na Jeshi la Israel kwa hakika Watawala / CCM bila Polisi ni wepesi sana.