Habari zenu,
Taarifa zinazovuma ni kwamba wale watumishi wa umma waliokuwa walimu wa leseni wakajiendeleza katika fani nyingine na kufanyiwa recartegorization waraka umetoka kuwa wafutwe kazi,haya...
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), imeanza kuchunguza utaratibu wa familia za kabila la kichaga kutumia majani maarufu kama 'Sale' kufunika au kumaliza kienyeji kesi zinazohusu...
MATAPELI WA VIWANJA BAGAMOYO.
Hawa ni matapeli wa kuuza viwanja Mapinga, Bagamoyo muwaogope.
Wamekamatwa muda mfupi uliopita, mwenye t-shirt ya mistari anajifanya mtoto wa huyo baba aliyevalia...
katika pitapita zang wakuu nmekutana na hii nyimbo
lyrics kama ifuatavyo:.
" I know that I must do what's right
Sure as Kilimanjaro rises like Olympus above the Serengeti"
MWANZA: Mamlaka ya mawasilino nchini (TCRA) imewafikisha mahakamani watu 3 kwa kughushi namba tambulishi za simu (IMEI) na kuzipatia namba mpya na kupelekea kutomtambua mmiliki wa awali wa simu...
Miongoni mwa huduma muhimu sana ambayo watumiaji wake wote wanategemea nchini ni umeme.
Lakini kwa wale ambao hawajakubali kuwa tatizo la umeme nchi hii limeshindikana, basi kwa mgao huu wa...
Juzi tarehe 24 siku ya Muungano natoka zangu tabata job saa 5 usiku naelekea mliman city nilivo shuka pale ubungo na daladala nikapiga hesabu nikaona kwann nipotezee hela ya bodaboda akati miguu...
1. Tarehe 9, mwezi wa pili mwaka 2004, mwanafunzi wa chuo kikuu cha Massachusetts aliyejulikana kwa jina la Maura Murray, alituma email kwa maprofesa wake aliwataarifu kuwa hatakuwa chuoni kwakuwa...
Salama wakuu....
Kuna hii kero mkoani Dodoma naomba mamlaka husika mchukue hatua!Ni hivi hapa kwenye taa za barabarani(traffic lights) zilizopo hapa karibu na chako ni chako,kama unatoka Nyerere...
Wakati wengine wanashughulikia majiji yao kimya kimya bila kuwa na kiki sasa ni dhahiri majiji kama Dsm ni kero yani barabara zimefungwa na bidha yani afadhali hata enzi ya Mzee Makamba...
Yani...
Sasa hivi ndio imekuwa worse, umeme shida tupu. Huyu uliyemuweka mbona kashindwa tangu jana? Wameshindwa kabisa, wanakudanganya, hawakwambii ukweli maana utawatumbua.
Total failure! Tunalala...
Kuna mambo yanaendelea yanaonyesha ni jinsi gani tumekosa ubinadamu watu wanaishi kama wanyama tena bora hata wanyama wanahurumiana wao kwa wao.
Kuna matukio yanaendelea duniani yanaonyesha ni...
Mbozi. Watu sita wanashikiliwa na polisi mkoani Songwe kwa tuhuma za kukutwa na vipande vitatu vya mifupa ya mtu wanayedai kuwa ni albino, pamoja na mafuta na ulimi unaodhaniwa kuwa wa simba...
Habari wanajukwaa na wote kwa ujumla. Tafadhali sana mods naomba msiondoe huu uzi sababu nimefikiria itakua very helpful kwa ajili ya kuripoti utapeli unaofanyika haswa kwenye eneo la kutafuta...
Kibo walikuwa wameomba licence ya kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe. Lakini siku za karibuni wamekuwa kimya.
Je serikali imenyima licence?
Kama serikali imekataa kuwapa licence...
Nimebahatika kujumuika na wadau (wananzengo) kwenye fukwe za Ukerewe kipindi flani kimepita, hizi ni tofauti kabisa na fukwe nyingi duniani kama sio Tanzania.
1:Kule tunaogelea uchi wa mnyama...
Kipindi kama hiki kwa miaka mingi sana ndio mgao wa umeme hushika kasi , sasa kama tunatumia gesi ( ya songosongo au ya Mtwara ) , kama ni kweli kwanini hakuna umeme wa uhakika ?
Kuna wakati...
Natumaini hamjambo wadau wa mashairi na fasihi kwa ujumla.
Baada ya kumaliza kuandika kitabu changu cha ushairi kwa lugha ya kiingereza kinachoitwa 'SONGS OF AFRICAN FATHERS'
kitabu hiki...
Kwenu halotel Tanzania naomba mtusaidie kukamata watu hawa matapeli waliotumia mtandao wenu kutapeli watanzania wanajiita MKOMBOZI ASSOCIATION PLATFORM FORM GEITA naamini kwa kushirikiana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.