Hatima ya Watoto 1300 waliopotea Imefikia Wapi?

Hatima ya Watoto 1300 waliopotea Imefikia Wapi?

lembu

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2009
Posts
19,705
Reaction score
25,949
Mwanzoni mwa mwezi huu niliweka uzi wa kutaka kujua watoto waliopotea kibiti na hawajulikani waliko lakini aidha uzi haukuload sawasawa au uliondolewa.

Kwa walio karibu na Siro au Kibiti kulikoni, tupeniu habari.

Nashangaa ilitangazwa mara moja tu halafu ikazikwa hata media haifuatilii tena issue kubwa kama hii
Watoto 1300 wapotea Kibiti.jpg
 
watoto wote hao kupotea!?... wazazi wao wanaweza kujua wako wapi..
 
Back
Top Bottom