kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,493
Wachina pamoja na kula vyakula vingi vya ajabu kama nyoka,mende na punda.Hii tabia yao ya kumpasua mbwa mwenye mimba ili eti watoe watoto kwa ajili ya kitoweo inatia kichefu chefu.Wao wanaamini kuwa nyama ya vitoto vya mbwa vilivyomo tumboni mwa mama yake vina radha nzuri na chembechembe zinazoweza kumsaidia binadamu kujikinga na baadhi ya magonjwa.kwa huu utaratibu wa wachina kula kila kitu sijui kama mimi nitaamini nyama yeyote nikiwa kwao na nikaila.Ni afadhali labda kula mboga za majani tu.sijui wenzetu mnaoenda kufanya biashara huko china uzoefu wenu wa chakula huko upoje? huwa mnakula nini?