Assalaam aalaykm ndugu zangu
Hivi watu wanaolalamika sana maisha yao yamekua magumu katika awam ya tano!!
1) kama ulikua una deal na dawa zakulevia heroin, cocain, marijuana, lsd, hashish etc...
Habari za asubuhi wakuu.Poleni na machovu ya usingizi wenye madhila kwa wale waliolala hali ya kuwa miili yenu ingali na maumivu.Pia hongera kwa kuamka salama kwa wale tulio amka pasi na matatizo...
AfDB (African Development Bank) imetoa 159.32 Million US Dollars (357 bn/=) kwa ajili ya utekelezaji wa awamu ya pili ya upanuzi wa Barabara Kilwa KM 19.3 na kipande cha Barabara ya Kawawa ajili...
Nionavyo mimi ili tume huru ya uchaguzi iwepo na ionekane huru kweli kweli basi lazima Iundwe kwa kufuata Utaratibu ufuatao:
Moja kiongozi mkuu asichaguliwe na RAIS.
Pili:viongozi au Wafanyakazi...
Wana jamvi habari!
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Kumekuwa na tatizo la whatsapp toka mida ya saa 3 usiku. Msg haziingii wala hazitoki.
Tafadhari tupe mrejesho kwa upande wako
DAR: Mahakama ya Kisutu imewahukumu wafanyabiashara watatu kwenda jela miaka 2 au kulipa faini ya Shs. milioni 9 (milioni 3 kila moja) baada ya kuwakuta na hatia ya kusafirisha madini ya dhahabu...
Wakuu leo hapa wilayani ruangwa ndipo yanafanyika maulidi kitaifa lakini umeme bado ni shida.
Karibuni wageni wote
Karibu sana mheshimiwa makamu wa rais mama samia suluhu
Ukiambatana na waziri...
Kutokana na kubadilika kwa sera za uhamiaji na idadi kubwa ya wakimbizi wanaoingia Ulaya, baadhi ya nchi zimezuia kabisa wahamiaji toka Afrika kuingia katika nchi zao. Hali hiyo imesababisha...
Hodi humu wanajamvi..
natumai mu wazima
msaidieni ushauri huyu Jamaal yangu
div IV ya 17 form 6 anaweza kusoma degree??nitashukuru kwa mawazo mazuri toka kwenu,
nawasilisha.....
Mbowe ingawaje simjui zaidi ya kumsoma na kumuona kwenye vyombo vya habari, lkn najua kwamba ameng'ang'ania Uongozi wa chadema na kwamba sababu anazotoa yeye pmj na watu wake n kwamba bila ya yeye...
Mtumiaji wa mtandao wa kijamii wa Facebook anayetumia majina Kwinyara au Kwinyara Kwintara au Kwinyara Kwinyara ni tapeli mkubwa sana kwa kujifanya ni mfia chama wa chama cha Demokrasia na...
Tuliambiwa Tundu Lisu alikimbizwa Kenya kwa kuhofia Usalama wake, kwamba Madakatari na watu wetu siyo wakuwaamini kwamba wangemmalizia mbali, sasa Je, Makamu wetu wa Raisi asingeweza kummaliza...
MUHIMBILI:
Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imefanya upasuaji wa kuhamisha moyo kwa mtoto wa miezi 9 ambaye alizaliwa moyo wake ukiwa upande wa kulia
Hii ni mara ya kwanza kwa upasuaji...
Kwa kifupi ni ugonjwa unaoshambulia maeneo ya Uso hasa Mdomo,Oris/oral Mouth ni ugonjwa unaosababishwa na bacteria na kusababisha kukauka/gangrene kwa tissue,ngozi inayozunguka mdomo.
Ugonjwa huu...
Jeshi la Polisi Zanzibar, limesema limepokea taarifa ya kuzama kwa boti katika bahari ya Zanzibar, iliyokuwa ikitokea Tanga, kuelekea kisiwani Pemba.
=============================
Kikosi cha...
Kuna baadhi ya mambo yanafanyika nchini hasa yale ya kimaendeleo au miradi flani ila utasikia kwa niaba ya Kiongozi flani ndo amewezesha huo mradi au ametekeleza hilo jambo hili naona halisound...
Katika karne ya 21 tunatumia muda na akili nyingi kulalamika tu, kulaumiana na kufuatilia nani kamzodoa mwezake . Yaani hatuna kitu chochote cha maana tunachoanzisha iwe ni wazo au kitu tangible...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Kimeokotwa kitambulisho cha taifa maeneo ya KNCU MOSHI MJINI, JIRANI NA PUB ALBERTO.
Kwa yeyote anayemfahamu au mwenye taarifa ya muhusika awasiliane na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.