Halimashauriya mji wa babati imeanzisha dampo katikatiya mjii karibu na bar ya olimpic ya juu.dampo hilo la muda mrefu sasa inasemekana mawakala wa kukusanja uchafu walionyeshwa sehemu hiyo .je...
Nafurahishwa sana na vipawa vya viongozi wetu wanavyovionyesha wakitembelea bandarini,ama kwa hakika hawa ni chaguo la Mungu na awamu hii ya tano ina baraka zote za jehovah
Imagine vichwa vya...
Kwa sasa tunavyozungumza doctor shika ni talk of the town na amekuwa gumzo hapa mjini. Kwa sasa Dk. Shika amekuwa akitumika katika matangazo mbalimbali kutokana na umaruufu wake hapa mjini.
Ila...
Heshima kwenu wadau,
Ni wazi nchini Kenya hali ya kisiasa ni mbaya na kiusalama inatishia amani na kutokea kwa mgawanyiko mkubwa kuliko vipindi vyote vilivyopita. Hali kadhalika nchini Tanzania...
Me si mkereketwa wa siasa, lakin kidogo huwa nafuatilia mambo ya siasa. Hizi purukushani za watu kuhamia ccm ninaziona ona tu kama hivi...Nina maswali mawili wanaoweza kunijibu mtanijibu
1. Je ...
Wakuu katika daraja la Mwendokasi(Kimara UDART Terminal) kila siku kuna mtoto huwa anawekwa pale na "mzazi" wake na kuwekewa kakopo kwa ajili ya kurushiwa pesa.
Huyu mtoto ni chini ya mwaka...
Jina la kitambulisho AHMAD, Hussein. Sambaganya
Programme: B.A with Education
Chuo: University of Dar es salaam
College: CoHU
Kwa anayemjua Tuwasiliane 0784202710
Yours' Faithful, MUOKOTAJI
Serikali kwa kushirikiana na taasisi binafsi katika Wilaya ya Tunduru inaendelea na uchimbaji wa visima virefu vya maji katika vijiji 23 ili kupunguza tatizo la upatikanaji wa maji kwa wakazi wa...
Hiyo Muzungu hospital Nairobi hata Wakenya wenyewe wanaikimbia na kwenda kuitbiwa India, lkn chadema ndiko walikompeleka Tundu Lisu na sasa wanategemea sisi tulipie gharama zake, binafsi napinga...
Habari za kulijenga taifa wakuu,
Niende kwenye mada,
Miaka ya nyuma kidogo nakua nilikuwa nawaona wadada zetu katika ubora wa kiasili zaidi na kumuona vizuri Mungu alivyo muumba.
Yaani unakuta...
Siku ya leo wanafunzi ( wana ccm ) kutoka udsm wanaokaa mabibo hostel walifanya hafla ya kuwakaribisha first year ,shughuli hii iliambatana na ugawaji wa kadi 400 kwa wanachama wa ccm wengi wao...
Kiukweli maisha ni mzunguko
Leo unacho ,kesho huna
Nakumbuka Mara ya kwanza nafungua akaunti NMB kwa pesa za msaada wa ndugu na marafiki akaunti ilikua inanona kila wakati
Nlipoingia chuo...
NEAR DEATH EXPERIENCE: ( Hali inayompata Binadamu anapokaribia Kufariki Dunia)
Near Death experience ni scientific topic ijapokuwa ina maudhui ya kiimani
Ni muda kidogo umepita tangia...
Wana JF
hata usingizi sipati naomba msaada, nimeandaa excell yenye calculation na formula zake yani ukiweka input ina calculate yenyewe kunipa sum mfano NSSF, TRA, LOAN, FUNDING AGENCY, PERDIEM...
Chama cha mapinduzi ni kati ya vyama vikongwe baran Afrika kama vile ANC cha Afrika kusini,Zanu Pf cha Zimbabwe,ni kama vile wapenzi wengi wa mpira kama sio Simba ni Yanga na kama Sio Yanga ni...
Kuna kamsemo kamoja maarufu kalitrend sana sijui vua nini vaa gwanda naona ndege imepiga u turn angani.
Naona watu wameamua kuvua gwanda sasa tena wenyewe bila shuruti.
Bado dirisha la usajili...
Mwanzoni nlikua napata shida kumwelewa Rais wetu Mpendwa ila sasa nimeshajua anataka nini nimeshajua anataka Watanzania tuje tuwe watu gani.
Kwa kifupi anamalengo mazuri mno na Sisi Watanzania ni...
Wakili Nimrod Mkono bado ni Mbunge? Sijamsikia tangu Bunge jipya lianze. Kufungia 'Bunge live' kutawagharimu wabunge wengi maana hatwasikii wala kuwaona wakichangia hoja mbalimbali.
Vv
DONGO LA LEO !!!!
Kwa lugha nyepesi ni kwamba ukiajiriwa maana yake umeshindwa kujitegemea kwa ujuzi wako (yaani hujui ufanyie nini) hivyo umeona uukabidhi ujuzi wako kwa wenye "akili na uwezo"...
.Hii ni endapo kijana msomi wa vyuo vikuu vya Dar es salaam ukihudhuria consciously kwenye events iliyoandalia na RC pale Mlimani city parking eti kwa lengo la kupongezwa pia kupongeza serikali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.