Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuongoza waombolezaji kuaga miili ya askari 14 waliouawa na waasi wa ADF nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Shughuli ya kuaga miili ya askari...
Waswahili tunapenda sana mteremko na kazi ngumu hatutaki, tunapenda vilivyojengwa na wengine, ndo maana wanataka kung'ang'ania Dar ambayo tayari ilishajengwa kwa sehemu kubwa na Muzungu, Waarabu...
Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Amos Makalla amesema Serikali ya Indonesia imeonyesha nia ya kushirikiana na uongozi wa mkoa wake kuwekeza katika sekta ya kilimo, biashara na viwanda.
Makalla alidokeza...
MCHUNGAJI na waumini wa Kanisa la The Evangelistic Assemblies of God (EAGT) mtaa wa Eden 'A' Manispaa ya Sumbawanga, Rukwa, wamekesha wakimuombea marehemu wao afufuke, wakidai alikufa kwa nguvu ya...
Mimi ni miongoni mwa wakulima wanaolima kwenye bonde la mto Wami, hapa Wami Dakawa.
Nimejitokeza hapa kuomba msaada kwani kuna clue ya tembo wapatao 13 wanaharibu mazao ya watu na kuleta umaskini...
Habari.
Nimechungulia kidogo TBC na kukuta hili tukio la UFUNGUZI WA TAWI LA BENKI YA CRDB Dodoma.
Nimemsikia JPM akisema Jiji la Dodoma.
Swali: Ni lini Dodoma imekuwa jiji na ni lini lini...
Humanitarian aid workers tukutane hapa , ili ku-share experiences ya chungu na tamu tulizokutanan nazo fields. iwe ndani au nje ya nchi..... fields kama South Sudan, Iraq, Yemen, Bangladesh...
Kila nyakati katika historia inapita, Ina uthamani wake na ina utofauti wake. Nyakati moja inaweza ikawa ndio mwanzo katika mabadiliko kwa nyakati nyingine ya kibinadamu, kiutawala, kiuchumi...
Mamlaka ya bandari nchini TPA imesema imeweka gharama za chini kabisa kwa wateja wanaotumia bandari hiyo ili kuhakikisha kuwa mizigo mingi zaidi inapita katika bandari ya Dar es Salaam na kuongeza...
Jiji letu nimepokea ugeni mkubwa kutoka China mji wa BENXI,ambao ni group la wawekezaji wa sector ya viwanda ,Madini na Utalii.Baada ya mazungumzo ya muda marefu tulibadilisha Investor's Guide...
Kama ambavyo mnagawa condoms bure mahospitalini, magesti vivo hivyo mgawe na pedi za bure jamani.
Always pads zilishushwa from 2000tshs to 1500tshs,cha ajabu wauzaji mmeng'ang'ana na kuuza...
Watanzania tunapenda kujikuza sana kielimu!Nafikiri kusini kwa jangwa la sahara ni sisi tu!Hata Wanaigeria wanaosifika kwa scams ,huwezi ukakuta mtu amefoji Phd maana wao elimu yao bado ni...
Kufanikiwa ni kupata / kufikia hitaji la moyo wako. Moyo wako ukiwa unahitaji BMW Na wewe ukapata Toyota Vits Basi hujafanikiwa, utakuwa umefanikiwa pale tu utakapopata BMW.
Ili kuyafikia...
Hatimae maombi na huruma ya kilio cha kusamehewa kwa Wasanii nguli wa Muziki Babu Seya na Papii Kocha kimesikika na wameachiwa huru kutoka katika Kifungo cha maisha. Nimesoma Hukumu iliyo watia...
POLISI mkoani Mara, Ephraim Lazaro (G- 1379), ameuawa kwa kupigwa risasi na mtu anayedaiwa kuwa ni jambazi aliyekuwa ametoroka kutoka mahakamani zaidi ya mwezi mmoja uliopita na kufuatiliwa baada...
1: Usiache kusalimia uwapo Ufaransa
Kila unapotembelea nchi ya Ufaransa kumbuka kusalimia. Neno “Bonjour madame, monsieur” lazima liwe la mwanzo kutoka kinywani mwako, vinginevyo utachukuliwa...
Kufungwa jela sio jambo zuri kwa vyovyote vile kwakuwa ukishafungwa gerezani kuna wanaofurahia kufungwa kwako na kuna wanahuzunishwa na kufungwa kwako vilevile. Kifungo kikishakuwa cha muda mrefu...
Wadau!
nataka tufanye utafiti mdogo, kujua ni callcentre ipi kati ya callcentre zilizochini ya makampuni yalioyo Tanzania inatoa huduma nzuri sana! kumbuka tuangalie kwa mwaka 2017 achana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.