Mahali gani Tanzania wanaruka Bungee Jumping??

Mahali gani Tanzania wanaruka Bungee Jumping??

barafuyamoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
32,405
Reaction score
29,811
Habari zenu! Samahanini, naombeni kujua ni wapi hapa Tanzania wanaruka Bunjee Jumping, yale mambo ya adventure!! Ile unafungwa kamba mguuni kisha unajitupa chini mahali penye kina kirefu. Ajuaye naomba anijuze! Mi nipo Dar.
 
Habari zenu! Samahanini, naombeni kujua ni wapi hapa Tanzania wanaruka Bunjee Jumping, yale mambo ya adventure!! Ile unafungwa kamba mguuni kisha unajitupa chini mahali penye kina kirefu. Ajuaye naomba anijuze! Mi nipo Dar.

Dodoma, iko kama km 500 kutokea Dar, ukifika tu uliza mtu yoyote atakuonyesha, iko tauni kabisa!
 
Wabongo hawajazibukia habari hizo tafuta viwanja vya kitalii talii unaweza kupata.

Maisha ya kawaida ya Mtanzania bungee tosha, atafute bungee zaidi la nini?
 
Huku unaruka bila kamba tena juu ya ghorofa kma Yule muhindi wa uganda
 
Wabongo hawajazibukia habari hizo tafuta viwanja vya kitalii talii unaweza kupata.

Maisha ya kawaida ya Mtanzania bungee tosha, atafute bungee zaidi la nini?
Hahahaaaa!
 
weka picha
20171211_101648.png
20171211_101623.png
 
Nenda fun city kigamboni mkuu ipo. Worst experience i have ever had in my life, nililia kama mtoto mdogo.
 
Swali la mbwembwe kumbe huna lolote [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Adventure, wakati naulizia hii kitu, nilikuwa na jamaa mzungu toka denmark, aliniuliza sikuwa na jibu.
Sio mimi niliyetaka kwenda fanya hiyo kitu ila ikatokea nimepafahamu kwa sasa na muda na kipato charuhusu, nitajaribu.
Huu ni uzi wa 2014.
 
Lushoto iko hoteli moja unaruka unatua mazinde. Hoteli iko irente
 
Nenda fun city kigamboni mkuu ipo. Worst experience i have ever had in my life, nililia kama mtoto mdogo.
umenikumbusha niliingia ndani ya bahari zenji kumgusa dolphin sasa wakati ananijia ndio nilipoona ukubwa wake halisi nilipiga makelele kwenye maji mpaka wale waongoza msafara wakajua nimedhurika kumbe ni uoga wa kiwango cha juu sana ulinikuta. Toka siku ile nimeapa kutofanya upuuzi na maisha yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom