mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,363
Kutokana na jengo kubomolewa mifumo ya luku imekuwa dusturbed na haifanyi kazi toka jana saa 2 asubuh. Hii ni kutokana na upishaji wa jengo kubomolewa. Tanesco ambayo huwa inauza takribani bil3.5 za luku kwa siku inatarajia kukosa kiasi kikubwa mpaka mfumo utakapo kaa sawa siku ya jumanne
Shida hizi
Shida hizi