Habari WanaJamiiForums,
Naomba uhusike na somo hapo juu, Nimepata hizi taarifa kwa rafiki yangu EDIMUND RUSHAMBYA mwenye namba ya simu 0757068739 baada ya kunieleza kuwa amepotelewa na mtoto wake...
Hospitali ya Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro imepata ‘ahueni’ katika changamoto ya ukosefu wa mashine za kupumulia wagonjwa, baada ya Chama cha Walimu (CWT) kuliona hilo ni tatizo kubwa na...
Miaka kadhaa iliyopita, mjomba wangu niliyekuwa nikiishi kwake, aliniahidi kulipa gharama zote za chuo, nilikuwa nashughulikia michakato ya kutafuta uwezesho wa kuendelea na masomo, lakini baada...
Wana jamvi amani kwenu.
Ninayofuraha kuwataarifu safu mpya ya shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania kama ifuatavyo.
Rais: Tumain Nyamhoka~TAGWU
Makamu: Qambos M Sule~CWT
K/Mkuu:Dr Yahya...
Serengeti. Mwalimu Yaredi Amosi (27), wa Shule ya Msingi Kitarungu amepandishwa kizimbani leo Jumanne kwa kosa la kumshambulia kwa ngumi na kumsababishia majeraha mwalimu mkuu wa shue hiyo, Thomas...
Habarii za haumu ndani wanajamvi wenzanguuu
Mimi niende mojakwa moja kwenye madaa ninataka niende swiden ,Norway au Denmark wanajamiii forum nimeona nije humu ndanii maana naweza kupata ushaurii...
Kwa kiwango gani kweli kaya masikini ichangie kuinua uchumi wa viwanda? Kama kuinuka kwa uchumi wa viwanda unategemea kaya masikini, basi Tanzania ingekuwa na viwanda vya kumwaga. Ila swali la...
Hivi mtumishi anapoacha kazi au kuachishwa kazi bima ya afya inakoma kutumika baada ya muda gani?
Na je kama kaachishwa kazi na ktk mzingira fulani i.e rufaa akarudi kazi anaweza kuendelea na...
Jambo wanaforum wenzangu leo naona tupeane akili kidogo kuhusu vitu gani hupaswi kufanya ukiwa kama mwanajamii na mgeni katika hio jamiii.
Naaanza kwa kusema hupasi kufanya ukaribu wa kupitiliza...
Leo nikiwa barabarani tena barabara kuu nimeokea singida kwenda Dodoma nimepita Zebra nikiwa speed 45km/h nikajua nipo safe na ghafla askari kanipiga mkono. wameanza kufuatilia sheria ya kusimama...
Wana Jf,
Nianze kwa kuwapongeza wachungaji, maaskofu na wengine wanojitahidi kueneza neno la Mungu.
Baada ya pongezi hizi niende moja kwa moja katika mada. Ni kwa muda mrefu jamii imekuwa...
Wanajanvi za mda huu?
Nisiwachoshe, hivi wale watoto waliolawitiwa sasa hivi si wana umri mkubwa tu? Wana kuanzia miaka 20 na kuendelea maana kwa wale waliokuwa na miaka 6 sasa hivi watakuwa na...
Polisi wa usalama barabarani leo walizuia mabasi yanayoenda mikoani yapatayo kumi kutokana na ubovu wa magari hayo,nawashauri wasisahau kuyapitia budget ya mbeya,upendo,nganga maan a bila...
JESHI la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja, linamshikilia kijana wa miaka 30 kwa tuhuma za kuwabaka watoto wanne, wawili wa familia moja.
Tukio hilo limeripotiwa Desemba 8, mwaka huu, huko Muyuni A...
Wana jamvi
Hili nimeliona sana, ma Rais wa bara la Afrika wanapoingia makanisani au msikitini huwa wanaombewa maombi ya Baraka ya kuiongoza nchi na sio maombi ya kukemea shetani na mapepo...
Inaelezwa kuwa vikosi vya jeshi la Tanzania kuendelea kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (Congo DRC) licha ya kupoteza wanajeshi wake 14 katika shambulio dhidi ya waasi...
"Kama hakuna mikutano ya hadhara, RUZUKU kwa vyama vya siasa inaliwa bure"..
Habari hii imeindikwa na gazeti la Tanzania Mpya, kurasa ya 10.
Je ni kweli au wazo hili linataka kuwapa changamoto...
Wadau kama kichwa kinavyosema hapo juu na naimani nitapata ideas nyingi humu kwa wadau.
Nimeajiriwa yapita mwaka sasa baada ya kupita sana JF nikafunguka kuona kwamba ajira ni utumwa hasa ikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.