Wakati tunasheherekea U-Dart, wenzetu Ulaya na Marekani wanazidi kupiga maendeleo na kusaidia kupunguza moshi usiendelee kuharibu Ozone layer...
Haya ni mabasi yanajiendesha kwa watu kupiga...
Miaka hiyo sisi tuliozaliwa mjini tulikuwa tunapata shida sana na watu wa mkoani. Wakifika Dar Kuna maeneo Matatu itabidi uwapeleke.
1. Uwapeleke soko la Kariakoo
2. Uwapeleke Ferry wakashangae...
siko hapa kwa ajili ya kumchafua mtu au lah na wala siko hapa kwa ajili ya chuki binafsi ila niko hapa tu kutoa ya moyoni kwani baadhi ya watanzania kisa kilichonitokea wiki iliyopita nilikwenda...
Watu tisa wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Morogoro wakikabiliwa na shitaka la kumkata mkono albino, Nassoro Mohamed kisha kutoweka na mkono huo.
Morogoro. Watu tisa...
Habari ndugu;
Kumekuwa na wimbi kubwa sana la wabunge wengi wa upinzani toka Ukawa na pengine ambao wanahamia chama cha Mapinduzi CCM. Wengi wamekuwa na mawazo mengi juu ya hali hii na kuhusisha...
Dar es Salaam. Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam imemtaka aliyekuwa ofisa ardhi kanisa hilo Kanda ya Kinondoni, Askofu Oscar Mnung'a kurudisha fedha takriban Sh 8 milioni anazodaiwa...
Ninini sababu iliyo nyuma ya pazia kwa wabunge, madiwani na pia wanasiasa waliokuwa maarufu (wakapoteza umaarufu huo) kuhama CHADEMA na kuhamia CCM?
Pamoja na taarifa kuwa wengi wanahongwa kwa...
Kwakweli jiji lilikuwa limefikia pabaya sana, kila kona mateja, vituo vya mabasi ndo usiseme, ila baada ya vita ya jemedari Makonda.
Sasa jiji limeanza kuwa safi na salama kwa upande huo, pole...
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema tangu alipotangaza kuanza kukamatwa kwa mashoga, amebaini kuna mkakati unawaohusisha watu hao zaidi ya 150 kutaka kumwangamiza.
Kauli hiyo...
TANZANI ee, nchi yangu ee, yapendeza ee, karibu muione, sura yake yavutiaa, kila konaa, kwa maziwa na bahari, nchi kavu na mipakaa
Hii ni sehemu ya wimbo maarufu sana ambao ulipendwa na watu...
Habari za mchana wana JF
Tunahitaji mabadiliko ya katiba na sheria ya uchaguzi kwa haraka.
Ifike mahali tuchague mtu na siyo chama, sheria zimekaa vibaya, zinalazimisha kuchagua mtu na chama...
Kwa mliobahatika kuzunguka ama kuishi mataifa mengi duniani hili ni swali kwenu, Je na wananchi wa mataifa mengine ndivyo walivyo? je wanakaribiana hata kidogo na sisi kwa unafki,
Refer...
Nimesikitishwa kupata taarifa kuwa mchakato wa uandikishaji wa vijana wanaotaka kujitolea JKT umegubikwa na rushwa ya wazi kabisa kwa baadhi ya mikoa ikiwemo mkoa wa Dar es salaam.
Hii inanyima...
Naelewa jukwaa hili linatembelewa na watu wengi, hivyo naomba msaada wenu hasa Sumatra na Polisi.
Kuna basi la kampuni ya best line lenye namba za usajili T916 ADV lililotokea Dar asubuhi...
Mlipuko huo ulitokea mbele ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mmbando, ambaye alikuwa mgeni rasmi katika sherehe za maadhimisho ya elimu kwa mkoa wa Dar es Salaam na kuhusisha...
Hivi ni kwa nini haianzi na siku aliyozaliwa Mtume Muhammad badala yake inaanza na ,,hijri“ au siku ambayo Mtume alienda Madina, tofauti na dini nyingine kama Ukristo wa Kizungu, Kalenda yao...
Angalia kuanzia dakika ya nane. Wabeba maboksi oyeeeeeee:usa2:
Halafu kumbe jamaa ni British-Tanzanian......teh teh teh
But why is he a foreigner in his own country? Au keshachukua uraia wa UK?
katika jamii kuna mambo mengi ya aibu, mengine yanawatokea watu kwa bahati mbaya ila mengine wanayafanya kwa makusudi wakiyaona ya kawaida ila wanaambulia aibu kubwa!
Kulala na mke/mume wa mtu...
Salaam wadau,
Kwa siku tatu zilizopita nilikuwa mkoani Tanga, na niliweza kutembelea chuo cha utumishi Kange, ambapo nilimpeleka ndugu yangu kuanza masomo hapo.
Chuo hiki ni muhimu hasa kwa mkoa...