WASIFU WA LUKOSI
1.Huyu jamaa alikuwa polisi akafukuzwa sababu
ya ajali katika msafara
wa pm wakati ule John Malecela na kukimbilia
Botwana kwa dada yake
ambaye ni Nurse.2
2.Lukosi alifuatana na dadake nchini uk baada
ya kupata kazi uk nayeye
alipata nafasi ya kuambatana naye uk.
3.Lukosi alipata nafasi ya kujifanya mkimbizi na
kuukana utanzania
pamoja na porojo zake yeye uk anafahamika
kama mkimbizi wa kisiasa na
njaa.
4. Lukosi alipata kazi ya kuwa traffic warden
kwa bahati mbaya alipata
ajali ambayo ilimfanya adhurike kichwani
alilazwa kwa muda mrefu na
aliathirika na ajali ile kichwani.Kampuni
aliyokuwa akiifanyia kazi
ilimlipa malipo kutokana na ajali hiyo,na baada
ya muda aliacha kazi
na kuanza biashara.
5 Lukosi alianza biashara za kupeleka magari
mabovu Tanzania na
baiskeri za wizi kutokea maeneo ya
barking&dagenham na baada ya muda
alianza biashara nyingine ambazo wengi
wanazijua.
6 Lukosi alijaribu kujiingiza kwenye siasa baada
ya kukutana na mbunge
Lema jijini London,na nia kubwa akifikiri
atapata tender za
kusafirisha mizigo na magari ya
chadema.Alipewa nafasi kukaa hotelini
kwa mzee ndesambulo jijini Dar kwa week moja
free of charge.
7 Baada ya kukosa tender hiyo Lukosi alirudi
ccm ambapo hajawahi kuwa
mwanachama uk,na alianza kashfa nyingi
kuhusu chadema na hii ni
kutokana na waajiri wake wa biashara (sizisemi)
kutoka Tanzania ambao
ni wafadhiliwa na ccm kutokana biashara
hizo.Ametumia muda mwingi
mtandaoni ili wamkubali kuwa katoka chadema
na anaichafua.
8.
Tumdharau Lukosi kwa sababu ana ugonjwa wa
pressure na inasemekana ni
muathirika wa vvu si mwana siasa ila ni stress
zinamsumbua naomba
kutoa hoja