Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kiukweli hii ndio dawa pekee ya kuondoa mgogoro uliopo Congo ya mashariki...! What i mean ni kwamba Congo yote ya mashariki iwe sehemu halali kabisa ya Tanzania na itambulike hivyo kisheria...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Napendekeza na kutanabaisha wenye mamlaka ya kusimamia jiji wachukuwe hatua haraka!! Wengi wetu,madereva na wenye kumiliki magari tupo hatarini sana.. haswa tunapokuwa ktk barabara na gari lako...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wasalamu nikiende kwenye point.Tuna walinda usalama wetu nikimaanisha askari wote, polisi,jeshi, askari game,magereza nk.Baadhi wamekuwa wakipata madhara makubwa ikiwemo vifo wanapotekeleza...
1 Reactions
2 Replies
703 Views
Binafsi huwa nastaajabu sana ninapoona Mwafrika akiongea lugha za Kizungu, iwe Kireno, Kifaransa au Kiingereza! Swali ambalo hunijia kichwani waliwezaje kutufundisha Kiingereza? Walitumia mbinu...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Kuna watu wengine wameshindwa kulipwa kimakusudi kabisa sababu utaratibu wa kudai umekuwa wakukera mno!mfano mtu anakupigia usiku kukumbusha deni lake na wewe bila hiyana unamwambia kesho yake...
1 Reactions
57 Replies
5K Views
Habari wadau, naomba niende straight bila kupoteza muda. Hivi pension ile tunayo katwa makazini je wana kata kwenye basic salary au net salary au gross salary. naomba msaada jaamani. Niko...
0 Reactions
1 Replies
891 Views
SAMAKI WACHANGA NA WAZAZI ZAKAMATWA KATIKA SOKO LA SAMAKI LA KIMATAIFA MWALONI KIRUMBA MWANZA. Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi .Abdalla Ulega amekamata samaki aina ya sangara wachanga...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kama tulivyosikia IMF watanzania wana tatizo la kulipa pindi wanapokopa. Wana jamvi tujadiri tatizo ni nini maana kwa uzoefu hata kati ya mtu na mtu utamaduni wa mtanzania ni kuwa tunapokopeshana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wandugu ni basi gani zuri la Dar to Dom kuanzia kumi na mbili asubuhi au saa moja asubuhi lenye AC na charging system.
1 Reactions
51 Replies
14K Views
Hili lieleweke kama vile Majeshi ya Uganda, Kenya &Co. yalivyokuwa huko Somalia pia Majeshi yetu kwenda Kongo siyo kwa faida yetu wala ya watu wa Kongo, bali ni kwa faida ya Mabepari. Kongo ina...
55 Reactions
150 Replies
16K Views
Ama kweli hi nchi pesa ipo. Mshahara na posho ya Mbuge kwa mwezi si chini ya 12millioni, bado kiinua mgongo karibu 300millioni, fursa kibao za mikopo. Halafu mtu anaachia Jimbo kwa hoja nyepesi...
2 Reactions
48 Replies
6K Views
Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza timu ya Zanzibar heroes kufuatia ushindi wake wa 2-1 dhidi ya Uganda katika michuano ya...
7 Reactions
29 Replies
3K Views
SIKIA SAUTI YA MUNGU Ufunuo wa Yohana 22 : 17 - Na Roho na Bibi-arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure. Bwana...
2 Reactions
10 Replies
6K Views
Baada ya umeme kukatika, nesi huyu aliamua kutumia simu yake ya Tochi, kwa kuing'ata mdomoni ili kutafuta (vein access) mshipa wa damu kwa kitoto kichanga cha siku mbili, ili kipewe dawa na kuokoa...
3 Reactions
3 Replies
718 Views
Serikali inajinasibu kulipa madeni yote ya wastaafu kiasi cha shilingi trillion 1.3. Leo hii katika mkutano wa walimu Dodoma raisi Magufuli amerudia kuwa wamekwisha lipa. Mbona viongozi wa PPF...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
wakuu. naombeni mwongozo nihamie wapi maana hawa jamaa wanamwendo mdogo zaidi ya ule wa kinyonga mchana kutwa unaweza kishinda bila kufanya kazi kabisa wanaudhi hawa sio kidogo.
0 Reactions
6 Replies
974 Views
Nmepat kipeperushi cha hawa watu natuma picha mnieleweshe ukweli au wanatania wanakujengea Nyumba kwa gharama zao we unalipa kila siku kwa miaka10 unawaonyesha tu kiwanja au kama huna...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Nimesoma kila mahali na kuona kuna watu wanatamani sana upinzani ufe. Hapana hawa watakuwa hawajui dhana ya upinzani. Upinzani siyo kikundi cha watu ambacho unaweza kukisambalatisha kwa mabomu...
9 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu wakubwa kwa wadogo, bila kupoteza muda wala manjonjo naenda kwenye mada. Kipindi fulani miaka ya nyuma nilikua nikisikia sana kwamba kuna namna ambayo mtu anaweza kupata nishati ya...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakala wa kudhibiti ubora wa mbegu nchini, TOSCI umeyafunga maduka zaidi ya 20 katika mikoa ya Mbeya na Songwe baada ya kubaini kuwa maduka hayo hayajasajiliwa wala kufuata taratibu za kisheria za...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Back
Top Bottom