Kiukweli hii ndio dawa pekee ya kuondoa mgogoro uliopo Congo ya mashariki...! What i mean ni kwamba Congo yote ya mashariki iwe sehemu halali kabisa ya Tanzania na itambulike hivyo kisheria...
Napendekeza na kutanabaisha wenye mamlaka ya kusimamia jiji wachukuwe hatua haraka!!
Wengi wetu,madereva na wenye kumiliki magari tupo hatarini sana.. haswa tunapokuwa ktk barabara na gari lako...
Binafsi huwa nastaajabu sana ninapoona Mwafrika akiongea lugha za Kizungu, iwe Kireno, Kifaransa au Kiingereza!
Swali ambalo hunijia kichwani waliwezaje kutufundisha Kiingereza? Walitumia mbinu...
Kuna watu wengine wameshindwa kulipwa kimakusudi kabisa sababu utaratibu wa kudai umekuwa wakukera mno!mfano mtu anakupigia usiku kukumbusha deni lake na wewe bila hiyana unamwambia kesho yake...
Habari wadau, naomba niende straight bila kupoteza muda.
Hivi pension ile tunayo katwa makazini je wana kata kwenye basic salary au net salary au gross salary. naomba msaada jaamani.
Niko...
SAMAKI WACHANGA NA WAZAZI ZAKAMATWA KATIKA SOKO LA SAMAKI LA KIMATAIFA MWALONI KIRUMBA MWANZA.
Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi .Abdalla Ulega amekamata samaki aina ya sangara wachanga...
Kama tulivyosikia IMF watanzania wana tatizo la kulipa pindi wanapokopa. Wana jamvi tujadiri tatizo ni nini maana kwa uzoefu hata kati ya mtu na mtu utamaduni wa mtanzania ni kuwa tunapokopeshana...
Hili lieleweke kama vile Majeshi ya Uganda, Kenya &Co. yalivyokuwa huko Somalia pia Majeshi yetu kwenda Kongo siyo kwa faida yetu wala ya watu wa Kongo, bali ni kwa faida ya Mabepari.
Kongo ina...
Ama kweli hi nchi pesa ipo.
Mshahara na posho ya Mbuge kwa mwezi si chini ya 12millioni, bado kiinua mgongo karibu 300millioni, fursa kibao za mikopo. Halafu mtu anaachia Jimbo kwa hoja nyepesi...
Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza timu ya Zanzibar heroes kufuatia ushindi wake wa 2-1 dhidi ya Uganda katika michuano ya...
SIKIA SAUTI YA MUNGU
Ufunuo wa Yohana 22 : 17 - Na Roho na Bibi-arusi wasema, Njoo! Naye asikiaye na aseme, Njoo! Naye mwenye kiu na aje; na yeye atakaye, na ayatwae maji ya uzima bure.
Bwana...
Baada ya umeme kukatika, nesi huyu aliamua kutumia simu yake ya Tochi, kwa kuing'ata mdomoni ili kutafuta (vein access) mshipa wa damu kwa kitoto kichanga cha siku mbili, ili kipewe dawa na kuokoa...
Serikali inajinasibu kulipa madeni yote ya wastaafu kiasi cha shilingi trillion 1.3. Leo hii katika mkutano wa walimu Dodoma raisi Magufuli amerudia kuwa wamekwisha lipa. Mbona viongozi wa PPF...
wakuu.
naombeni mwongozo nihamie wapi maana hawa jamaa wanamwendo mdogo zaidi ya ule wa kinyonga mchana kutwa unaweza kishinda bila kufanya kazi kabisa wanaudhi hawa sio kidogo.
Nmepat kipeperushi cha hawa watu natuma picha mnieleweshe ukweli au wanatania wanakujengea Nyumba kwa gharama zao we unalipa kila siku kwa miaka10 unawaonyesha tu kiwanja au kama huna...
Nimesoma kila mahali na kuona kuna watu wanatamani sana upinzani ufe. Hapana hawa watakuwa hawajui dhana ya upinzani.
Upinzani siyo kikundi cha watu ambacho unaweza kukisambalatisha kwa mabomu...
Habari zenu wakubwa kwa wadogo, bila kupoteza muda wala manjonjo naenda kwenye mada.
Kipindi fulani miaka ya nyuma nilikua nikisikia sana kwamba kuna namna ambayo mtu anaweza kupata nishati ya...
Wakala wa kudhibiti ubora wa mbegu nchini, TOSCI umeyafunga maduka zaidi ya 20 katika mikoa ya Mbeya na Songwe baada ya kubaini kuwa maduka hayo hayajasajiliwa wala kufuata taratibu za kisheria za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.