Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Rahimu Haruni (30), mkazi wa mtaa Mwembesongo Manispaa ya Morogoro amefariki dunia baada ya kupigwa na shoti ya umeme wakati akianika nguo kwenye waya...
Habari wanajukwaa,
Mimi ni msomaji wa gazeti la kila jumapili la upendo. Kimsingi ni shuhuda wa uwelewa mdogo sana juu ya mambo mbali mbali ya kwenye jamii ulio ndani ya waandishi wa hili gazeti...
Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zubairy bin Ally, ametaka viongozi wa dini nchini kuheshimiwa na jamii ikiwemo kutekeleza mahitaji yao ya msingi ili waweze kujikimu kimaisha.
Akizungumza...
Yapata siku ya tatu leo bomba hazitoi maji. Tunaomba mamlaka husika watatue hili tatizo kwani dada zetu na akina mama wanapata tabu yakwenda mbali kutafuta maji.
Tukiachana na hilo wenye watoto...
Igwe wanaJF
Pamoja na umma kutokubaliana na gharama kubwa za matibabu ya Tundu huko Nairobi,sintofahamu imeendelea kuhusu kiasi kilichotumika kumtibu dereva wa Lissu ugonjwa wa kisaikolojia kwa...
Kwamba nchi ya Ubelgiji ndiyo nchi pekee iliyo na Madaktari hohehahe / wabovu kuliko nchi zingine zote za Ulaya? Na kwamba kuliko kumpeleka huko Mgonjwa ni kheri tu akatibiwe Muhimbili au KCMC au...
Habari wanajukwaa, Natumai mu wazima.
Naomba kuanza kwa kusema sijaleta habari za uhakika kuhusu kitabu tajwa hapo juu, ili nimepata shauku ya kuleta uzi huu ili kupata habari na uelewa au kupata...
Mnadhimu Mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, Tundu Lissu ambaye pia ni Rais wa chama cha mawakili Tanzania (TLS) amehojiwa na kipindi cha BBC-focus on Africa juu ya hali ya kisiasa nchini na...
Tundu Lissu anaenda kulazwa Ubelgiji nchi ambayo mwanasoka wa kimataifa wa kitanzania, Mbwana Samatta anacheza soka(mpira wa muguu).
Swali ni je,mwanasoka huyu maarufu atakwenda kumuona...
Naomba niende kwenye pointi mimi kwa sasa nipo mkoani na ndipo yalipo makazi yangu, Dar hapo nimesomea na kuishi hapo kwani ndipo nilipokulia, .
kuna tofauti kubwa sana kati ya vijana wa mkoani...
Habar zenu wadau naomba kwa mdau aliye na Mbao ambazo alitumia Kuezeka zikabaki nahitaji Mbao arobaini kwa yeyote aliye nazo anitafute kwa Namba hizi 0755156747 ninaishi Goba
Hakika nimeiona faida ya kuwa ktk jamii forum nimepata msaada mkubwa na bado naombeni ushauri zaidi
Naombeni mnisaidie mchanganuo Wa kuezeka vyumba viwili idadi ya Mbao
2@2 ni ngapi
4@2 ni...
Direct to the point
Nataka kuacha kazi serikalini, niko kwenye process za ajira mpya, taasisi binafsi katika mkoa mwingine .
Ila nina mkopo unaondelea bank ya CRDB na makato mengine kama ya...
Habarini wanajf
Hatimaye tumeiona 2018 kwa kudra za Mwenyez Mungu.
Nimeuanza mwaka kwa kupiga goti na
Kumuomba Mungu aniweke mbali na hawa maadui watatu ...
1:)Pombe
2:)Wanawake
3:)Siasa...
Najiuliza maswali
Je iwapo wasanii wetu watafanya fet. na wasanii wa inje ambao wanapenda kutumia video queen wakiwa robo tatu utupu na nusu utupu, je nyimbo zao hazitapigwa bongo??
lakini zile...
?
Ndege ya shirika la ndege la Cathay Pacific
Shirika la ndege la Cathay Pacific la Hong Kong limeanzisha uchunguzi mkali kufuatia skendo kubwa lililoikumba shirika hilo la ndege baada ya...
Katika shauri lililokuwa linaendelea leo mahakama ya kisutu ambapo mahakama iliridhia watuhumiwa papa wa madawa kulevya kina Shkuba na wenzake wawili shauri lao lipelekwe nchini marekani...
Siku zote Waafrika hufanya mambo yanayofanana, hurudia makosa yale yale huku wakitegemea matokeo tofauti!
Chadema kama walivyo Waafrika wengine kama Besigye &Co. wanaamini kabisa kwamba Muzungu...
Nawasalimu wapendwa, heri ya mwaka huu! Nililipia ada ya kama sita hivi Decemba mwaka jana shule ( ) lakini nimeghairi na kumuhamishia mwanangu shule nyingine ya awali. Sasa nilipowaambia...