Msaada

Msaada

kush moker

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2016
Posts
579
Reaction score
367
Wakuu kwema..naulizia usafiri wa kufika mkoa wa mara maana sijawahi kusafiri eneo lolote la kanda ya ziwa
 
Hahaha! Tarime? Bunda, Rorya? Musoma m/v? Butiama? Na unatokea wapi?
 
Serengeti mkuu nipo dar
Panda bus la JM kutoka Dar kwenda Musoma ndo bus zuri, then utashukia bunda , hapo utapata magar mengi tu ya kwenda mugumu-serengeti,
Au waweza shukia hata mwanza then ukapanda gari za mugumu , sijui unaenda serengeti sehemu gani, ila kama ni hapo mjini yan mugumu njia ndo hiyo,
 
Hakuna mj la musoma..nenda ubungo panda jm luxury coach la musoma kaka
 
Hakuna mj la musoma..nenda ubungo panda jm luxury coach la musoma kaka
Hahahaha! Asante, nilikosea nilitaka kuandika hiyo JM, aende ubungo ofisi zao ni chumba no.40, au kule uwanja wa Taifa wana ofisi na ndo wanapaki huko
 
Hahahaha! Asante, nilikosea nilitaka kuandika hiyo JM, aende ubungo ofisi zao ni chumba no.40, au kule uwanja wa Taifa wana ofisi na ndo wanapaki huko
Shukran sana na je nauli za huko huwa zinakuwa kiasi gani??
 
Back
Top Bottom