Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,343
- 217,380
Kuanzisha Brand na kuhakikisha kwamba inakua na kujizolea umaarufu si kazi rahisi , ni kazi ngumu inayohitaji Pesa nyingi na weledi wa kiwango cha juu , inahitajika Rasilimali watu yenye ushawishi na mvuto mkubwa sana .
Kwa bahati mbaya sana kuharibu Brand yoyote ile si kazi ngumu , unaweza kutumia sekunde 60 tu na ukaharibu kitu ulichokipigania kwa jasho na damu kwa miaka mingi sana .
Kitendo cha EFM na ETV kumkumbatia RC wa DSM yaweza kuwa ndio kaburi lao, huyu mtu ni kati ya watu wasiopendwa kabisa katika nchi hii ( sababu zinafahamika ) , sasa kumkumbatia mtu wa namna hii ni kutafuta laana ya Mungu .
Majuto ni mjukuu .
Kwa bahati mbaya sana kuharibu Brand yoyote ile si kazi ngumu , unaweza kutumia sekunde 60 tu na ukaharibu kitu ulichokipigania kwa jasho na damu kwa miaka mingi sana .
Kitendo cha EFM na ETV kumkumbatia RC wa DSM yaweza kuwa ndio kaburi lao, huyu mtu ni kati ya watu wasiopendwa kabisa katika nchi hii ( sababu zinafahamika ) , sasa kumkumbatia mtu wa namna hii ni kutafuta laana ya Mungu .
Majuto ni mjukuu .