WAANDISHI wa habari wametakiwa kusimamia haki na ueledi na wasikubali kutumiwa na wafanyabiashara matapeli wanaokesha usiku na mchana kubuni mbinu za kuwalaghai wananchi.
Balenga alitoa kauli...
Viongozi wengi sana wa kisiasa hupenda kupongezwa tuu na wala Sio kukosolewa hasa wale viongozi dhaifu wasio jiamini. Na kama wakiwa na wasaidizi wasio na maono na utashi wa kumshauri basi...
Wakati zoezi la ubomoaji wa jengo la Ofisi za TANESCO makao makuu Ubungo kwa wakati ule wa kuhamisha mifumo ya Luku, kulikuwa na taarifa kwa wananchi kwamba huduma ya kununua umeme wa Luku...
Wadau
Leo tarehe 28/12/2017 kuanzia saa tatu usiku ITV watakuletea moja kwa moja kipindi maalumu cha tathmini ya kazi zinazofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Paulo Makonda...
Hii inaacha maswali wengi bila Majibu kwa sie wenye uelewa mdogo kuhusu nani alihusika tukio la kushambuliwa kwa Lisu. Naelewa vipanga walishafanya upembuzi na kujiridhisha kuhusu wakina nani...
Wadau
Leo tarehe 28 Desemba 2017 Mh Rais Dkt John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo kwa mara ya kwanza na Kamati Maalumu ya kuhakiki mali za Chama cha Mapinduzi Ikulu ya Dar es...
Hongereni kwa mapumziko ya msimu huu maalumu.
Niende kwenye topic direct.
My background ni kanda ya ziwa, tumezaliwa 11, me 8,na ke 3. Ndg zangu 3 wa kiume wametangulia mbele za haki. Tuna mzazi...
Wote wasiopendezwa na juhudi za Rai
Na wale wote wanaotaka kwa namna moja au nyingine turudi Katika zama zile ambao;
Wizi, Rushwa, ubadhirifu ulikua ni sehemu ya maisha ya mtumishi wa uma...
Moja kwa moja kwenye ombi, naomba kufahamishwa, nimenunua line ya TTCL (SIM card) mpya lakini haifanyi kazi na simu Samsung GT-E1207Y wala simu yoyote ya button, lakini line za makampuni menngine...
Habar wana Jf?
Mwaka 2017 ulianza kwa changamoto nyingi kiupande wangu lakini nikapiga moyo konde nikasema lazima mwaka huu nitoboe.
Mwaka huu ndio mwaka ambao sitokuja kuhusahau katika maisha...
wakuu nilikuja hapa kulalamika cost kubwa nayopewa na mawakili wakati was Ku verified vyeti ambako nilikua nachajiwa 5000@ cheti,so kila nilipokua natuma application ilibidi 30000+ initoke ,lkn...
Yan 300bilioni wanapelekewa wanasiasa?walah zitatatafunwa mpka zikome!kwa nn msingewapa vijana wakaanzisha Benki yao wakapeana mikopo alafu wakalipa na riba?ongereen serikali kuleni tu.
Naitaji zile sijui nisemeje ili nieleweke ila nahisi mtanielewa...
Naitaji zile nanilii za kuulia mbu zile ambazo unqchomeka katika umeme alafu inakuwa kama INA ki tube light kikiwaka kile mbu...
Habari,
Nina safari ya siku mbili morogoro mjini,
Naomba kufahamishwa guest house nzuri mjini moro..
Iwe na usafi wa hali ya juu,
Iwe self contained,
Iwe na AC
Ulinzi na usalama wa uhakika...
Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Pennsylvania unaeleza kuwa watoto wanaokula samaki mara moja kwa wiki wanapata usingizi wa uhakika na uwezo wao kufikiri, kuelewa na kujifunza huongezeka mara...
Kama ilivyo kwa sasa serikali inahamishia makao makuu Dodoma hivyo shughuli zake zote kuwapo Dodoma. Tunatambua pia makao makuu ya kanisa Katoliki kuwapo Dar na kanisa la St. Joseph kutumika kama...
Kumekuwa na malumbano juu ya kipi kati ya serikali isiyokuwa na dini, na dini kuvuka mipaka yake na kujikuta kwenye uwanja wa mwinzie. Inaaminika kila kimoja kina mipaka yake na kila kimoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.