Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

WAANDISHI wa habari wametakiwa kusimamia haki na ueledi na wasikubali kutumiwa na wafanyabiashara matapeli wanaokesha usiku na mchana kubuni mbinu za kuwalaghai wananchi. Balenga alitoa kauli...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Viongozi wengi sana wa kisiasa hupenda kupongezwa tuu na wala Sio kukosolewa hasa wale viongozi dhaifu wasio jiamini. Na kama wakiwa na wasaidizi wasio na maono na utashi wa kumshauri basi...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakati zoezi la ubomoaji wa jengo la Ofisi za TANESCO makao makuu Ubungo kwa wakati ule wa kuhamisha mifumo ya Luku, kulikuwa na taarifa kwa wananchi kwamba huduma ya kununua umeme wa Luku...
6 Reactions
44 Replies
5K Views
Habari wadau. Mwenye soft copy ya Kitabu hiki cha Sir Salmin Rushdie naomba anisaidie inbox au hapa ukumbini. Ahsante
0 Reactions
33 Replies
6K Views
Wadau Leo tarehe 28/12/2017 kuanzia saa tatu usiku ITV watakuletea moja kwa moja kipindi maalumu cha tathmini ya kazi zinazofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mheshimiwa Paulo Makonda...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Hii inaacha maswali wengi bila Majibu kwa sie wenye uelewa mdogo kuhusu nani alihusika tukio la kushambuliwa kwa Lisu. Naelewa vipanga walishafanya upembuzi na kujiridhisha kuhusu wakina nani...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau Leo tarehe 28 Desemba 2017 Mh Rais Dkt John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo kwa mara ya kwanza na Kamati Maalumu ya kuhakiki mali za Chama cha Mapinduzi Ikulu ya Dar es...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hongereni kwa mapumziko ya msimu huu maalumu. Niende kwenye topic direct. My background ni kanda ya ziwa, tumezaliwa 11, me 8,na ke 3. Ndg zangu 3 wa kiume wametangulia mbele za haki. Tuna mzazi...
16 Reactions
157 Replies
19K Views
Wote wasiopendezwa na juhudi za Rai Na wale wote wanaotaka kwa namna moja au nyingine turudi Katika zama zile ambao; Wizi, Rushwa, ubadhirifu ulikua ni sehemu ya maisha ya mtumishi wa uma...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Moja kwa moja kwenye ombi, naomba kufahamishwa, nimenunua line ya TTCL (SIM card) mpya lakini haifanyi kazi na simu Samsung GT-E1207Y wala simu yoyote ya button, lakini line za makampuni menngine...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habar wana Jf? Mwaka 2017 ulianza kwa changamoto nyingi kiupande wangu lakini nikapiga moyo konde nikasema lazima mwaka huu nitoboe. Mwaka huu ndio mwaka ambao sitokuja kuhusahau katika maisha...
3 Reactions
9 Replies
960 Views
Wengine wanasema yeye Ni YOHANA mbatizaji . Na kuna kuna wengine wanasema yeye ni mtoto wa YOSEPHU. Je wajua yeye ni Nani?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wakuu nilikuja hapa kulalamika cost kubwa nayopewa na mawakili wakati was Ku verified vyeti ambako nilikua nachajiwa 5000@ cheti,so kila nilipokua natuma application ilibidi 30000+ initoke ,lkn...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Yan 300bilioni wanapelekewa wanasiasa?walah zitatatafunwa mpka zikome!kwa nn msingewapa vijana wakaanzisha Benki yao wakapeana mikopo alafu wakalipa na riba?ongereen serikali kuleni tu.
0 Reactions
4 Replies
944 Views
Naitaji zile sijui nisemeje ili nieleweke ila nahisi mtanielewa... Naitaji zile nanilii za kuulia mbu zile ambazo unqchomeka katika umeme alafu inakuwa kama INA ki tube light kikiwaka kile mbu...
1 Reactions
4 Replies
829 Views
Habari, Nina safari ya siku mbili morogoro mjini, Naomba kufahamishwa guest house nzuri mjini moro.. Iwe na usafi wa hali ya juu, Iwe self contained, Iwe na AC Ulinzi na usalama wa uhakika...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Pennsylvania unaeleza kuwa watoto wanaokula samaki mara moja kwa wiki wanapata usingizi wa uhakika na uwezo wao kufikiri, kuelewa na kujifunza huongezeka mara...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama ilivyo kwa sasa serikali inahamishia makao makuu Dodoma hivyo shughuli zake zote kuwapo Dodoma. Tunatambua pia makao makuu ya kanisa Katoliki kuwapo Dar na kanisa la St. Joseph kutumika kama...
5 Reactions
70 Replies
10K Views
Kumekuwa na malumbano juu ya kipi kati ya serikali isiyokuwa na dini, na dini kuvuka mipaka yake na kujikuta kwenye uwanja wa mwinzie. Inaaminika kila kimoja kina mipaka yake na kila kimoja...
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Back
Top Bottom