Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

..
Jamaniiiiii huu mtandao wa Halotel umekuaje wadau mbona vifurushi havielewek
0 Reactions
1 Replies
530 Views
Kwa kweli wazungu wanachotufanyia waafrika Mungu anawaona. 1. Wazungu wamefundisha vijana wetu wa kiume ujinga, vijana wanalilia mapenzi, vijana wanapiga magoti kuomba kumvisha pete mwanamke. N...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari ya usiku wana jf wenzangu! Kwa heshima na taadhima napend kujua mawili matatu kuhusiana na friji kwan hapa na kabejeti kidogo naitaji nikajichukulie friji jipya dukani napenda kufahamu ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/25040176
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Tanapa wametangaza nafasi za kazi na kuwataka wenye vigezo waombe kupitia mtandao wao maalum, lakini hiyo system yao inamapungufu mengi eiza ya kiufundi au makusudi ili iwe kigezo cha watu Fulani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kwa wapenzi wa documentary, fwatilia hii ujue undani na chanzo hasa cha ukimwi.
0 Reactions
0 Replies
839 Views
Palestine nimatokeo ya Vita iyopigana kati ya 132 -135 AD ..ambapo majeshi ya ufalme Wa Rumi waliwapiga Majeshi ya Uyahudi yalokua yanaongozwa na Shimon Bar kokhba ( hawa wayaudi walianzisha...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Hello JF, Nimewaza nikaona labda kuundwe chama kipya cha upinzani, New party,new faces, Waangalie sehemu ambapo upinzani ilifanya vizuri,chaguzi zilizopita. Then watumie the same strategies...
1 Reactions
34 Replies
2K Views
*SHEIKH AHMED ISLAM NIMJUAE* *Ramadhani K. Dau* Ilikuwa siku ya Jumamosi tarehe 23 Disemba 2017, majira ya saa 5 usiku kwa saa za Malaysia nilipopata ujumbe mfupi wa sms kutoka kwa *Sheikh...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
Nimekuwa na shauku ya kujua nini kitafanyika kuhusiana na jina la sasa la 'Airtel'..kwamba itakapotokea TTCL imeichukua kampuni hiyo, je, jina litaendelea kuwa lilelile au litabadilishwa...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Mwaka mzima kumalizika si mchezo kwani una siku nyingi kuruhusu matukio mengi kutokea. Matukio ya watu wasiojulikana yalikuwa ya kipekee katika nchi yetu kutokea, hayakuzoeleka, bali tuliyasikia...
0 Reactions
8 Replies
904 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amewataka Wakuu wa shule mbalimmbali mkoani humo kuhakikisha fursa zinagawanywa kwa usawa kwa walimu wote na kutaka dhana ya walimu wanaojipendekeza tu kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Msichana huyu anayejiita Prety Kind amedai alipewa na rafiki yake mchongo wa kupelekwa India kwa mwanaume ambaye amempanda na atakuwa anamhudumia mahitaji yake, kufika huko akakuta mambo tofauti...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Meya wa Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Raymond Mboya amekanusha tetesi za kujivua wadhifa wake na kuhama CHADEMA kisha kuhamia CCM na kufafanua kwamba wanaofanya hivyo hawazitendei haki...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari Zenu Wakuu Boxing Day Kwa Wenye Pesa na Ni Juma4 ya Kiharakati Kwa Watafutaji "Niende Moja Kwa Moja Kwenye Mada Mezani. kama wewe Ni Mmoja Wa Watumiaji Wa Usafiri wa Public transport Ni...
0 Reactions
5 Replies
876 Views
Habari wana JF ?,naulizia ubalozi wa Central Africa Republic upo wapi nchini Tanzania ? Nahitaji kupata VISA.
0 Reactions
0 Replies
793 Views
Kiongozi kusema uongo wa wazi kabisa huku akijua kabisa kua ni uongo ili tu kujiongezea sifa ni jambo ambalo linaendelea kushika kasi hapa kwetu. 1. Tuliambiwa sukari mwaka 2015 ilikua 5,000 kitu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ningeweza kuwachukua picture kama Jerry Muro nami ningefanya hivyo, nimejionea kwa macho yangu Traffic wakichukua Mlungura usiozidi buku jero. Kutokana na huaba wa usafiri ktk kipindi hiki cha...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Salaam wana JF Kwa mtazamo wangu naona kutumia pesa nyingi na lasrimali nyingi Kwa ajili ya sikukuu kuliko kipato chako ni ushamba mkubwa. Maana wanabaki na madeni makubwa Kwa sababu ya kutumia...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom