Habari ya usiku wana jf wenzangu! Kwa heshima na taadhima napend kujua mawili matatu kuhusiana na friji kwan hapa na kabejeti kidogo naitaji nikajichukulie friji jipya dukani napenda kufahamu ni...
Tanapa wametangaza nafasi za kazi na kuwataka wenye vigezo waombe kupitia mtandao wao maalum, lakini hiyo system yao inamapungufu mengi eiza ya kiufundi au makusudi ili iwe kigezo cha watu Fulani...
Palestine nimatokeo ya Vita iyopigana kati ya 132 -135 AD ..ambapo majeshi ya ufalme Wa Rumi waliwapiga Majeshi ya Uyahudi yalokua yanaongozwa na Shimon Bar kokhba ( hawa wayaudi walianzisha...
Hello JF,
Nimewaza nikaona labda kuundwe chama kipya cha upinzani,
New party,new faces,
Waangalie sehemu ambapo upinzani ilifanya vizuri,chaguzi zilizopita.
Then watumie the same strategies...
*SHEIKH AHMED ISLAM NIMJUAE*
*Ramadhani K. Dau*
Ilikuwa siku ya Jumamosi tarehe 23 Disemba 2017, majira ya saa 5 usiku kwa saa za Malaysia nilipopata ujumbe mfupi wa sms kutoka kwa *Sheikh...
Nimekuwa na shauku ya kujua nini kitafanyika kuhusiana na jina la sasa la 'Airtel'..kwamba itakapotokea TTCL imeichukua kampuni hiyo, je, jina litaendelea kuwa lilelile au litabadilishwa...
Mwaka mzima kumalizika si mchezo kwani una siku nyingi kuruhusu matukio mengi kutokea. Matukio ya watu wasiojulikana yalikuwa ya kipekee katika nchi yetu kutokea, hayakuzoeleka, bali tuliyasikia...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amewataka Wakuu wa shule mbalimmbali mkoani humo kuhakikisha fursa zinagawanywa kwa usawa kwa walimu wote na kutaka dhana ya walimu wanaojipendekeza tu kwa...
Msichana huyu anayejiita Prety Kind amedai alipewa na rafiki yake mchongo wa kupelekwa India kwa mwanaume ambaye amempanda na atakuwa anamhudumia mahitaji yake, kufika huko akakuta mambo tofauti...
Meya wa Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro, Raymond Mboya amekanusha tetesi za kujivua wadhifa wake na kuhama CHADEMA kisha kuhamia CCM na kufafanua kwamba wanaofanya hivyo hawazitendei haki...
Habari Zenu Wakuu Boxing Day Kwa Wenye Pesa na Ni Juma4 ya Kiharakati Kwa Watafutaji
"Niende Moja Kwa Moja Kwenye Mada Mezani. kama wewe Ni Mmoja Wa Watumiaji Wa Usafiri wa Public transport Ni...
Kiongozi kusema uongo wa wazi kabisa huku akijua kabisa kua ni uongo ili tu kujiongezea sifa ni jambo ambalo linaendelea kushika kasi hapa kwetu.
1. Tuliambiwa sukari mwaka 2015 ilikua 5,000 kitu...
Ningeweza kuwachukua picture kama Jerry Muro nami ningefanya hivyo, nimejionea kwa macho yangu Traffic wakichukua Mlungura usiozidi buku jero.
Kutokana na huaba wa usafiri ktk kipindi hiki cha...
Salaam wana JF
Kwa mtazamo wangu naona kutumia pesa nyingi na lasrimali nyingi Kwa ajili ya sikukuu kuliko kipato chako ni ushamba mkubwa.
Maana wanabaki na madeni makubwa Kwa sababu ya kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.