Mchunguzi wa biashara haramu ya meno ya Tembo na Pembe za Kifaru auwawa kikatili

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,497
DVRqhVhWAAANun-.jpg

Esmond Bradley-Martin

Mwanaharakati na mchunguzi wa biashara ya meno ya tembo duniani, Esmond Bradley-Martin ameuawa kikatili kwa kuchomwa kisu shingoni akiwa nyumbani kwake jijini Nairobi, Kenya siku ya Jumapili(Februari 4, 2018)

Bradley-Martin (75) alikuwa mpambanaji na mchunguzi wa biashara haramu ya pembe za ndovu na meno ya vifaru duniani.

Tayari Jeshi la polisi nchini Kenya kupitia kwa Mkurugenzi wa Upelelezi jijini Nairobi, Ireri Kamwende amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kueleza kuwa upelelezi unaendelea.Hata hivyo, taarifa hiyo pia imeligusa Shirika la ‘Save Rhino’ juu ya kifo hicho cha mpambanaji.

Bradley-Martin enzi za uhai wake alishawahi kutoa ripoti mbalimbali za kiuchunguzi juu ya biashara hiyo inavyofanyika nchini Kenya hadi nyara hizo zinavyosafirishwa kwenda China na Vietnam ambapo alitaja nchi hizo kama vitovu vya biashara hiyo.

Tukio hilo linajili ikiwa ni miezi 5 tu imepita tangu auawe Mwanaharakati mwingine wa kuzuia biashara hiyo ya meno ya tembo ‘Wayne Lotter’ nchini Tanzania.
============

Esmond Bradley Martin, one of the world's leading investigators into the global illegal ivory and rhino horn trade, has been found stabbed to death in the Kenyan capital, Nairobi.

He worked undercover in some of the world's most dangerous and difficult places, photographing and documenting ivory markets, talking to traffickers and calculating black market prices to guide global conservation policy makers.

In the last few years he travelled to China, Vietnam and Laos with collaborator Lucy Vigne, going into places few outsiders would dare to set foot, posing as ivory and rhino horn buyers.

In a Chinese-run casino in Laos, this odd couple would navigate gangsters, drug barons and traffickers of people, guns and wildlife to gather their data.

Their research, funded by Save the Elephants, revealed that Laos has become the fastest-growing ivory market in the world.

They had recently returned from an investigative trip to Myanmar and Mr Martin was writing up that data when he was killed.

Police are investigating the motive for his murder. He died from a knife wound to the neck at his house near Karen, outside Nairobi.

It appears to have been a botched robbery, but police are investigating whether it was linked to his work.

In a BBC interview in 2016, he said the reason that poaching had increased over the last five years in Africa was due to the mismanagement of many of the areas where elephants live.

"Corruption is probably the single biggest cause of the increase in elephant poaching. Corruption at all levels," he said.

"What has happened over the last few years is that many more Chinese have moved into Africa… There are probably about a million or more expatriate Chinese now working in Africa.

"What we have are these large, open, illegal ivory markets in places like Angola, Nigeria, Egypt, Sudan - and Mozambique, I think - and most of that ivory is being bought by the Chinese."

He helped close down many of the open markets - drawing attention to governments with poor records on wildlife crime.

His work in China is widely credited with helping encourage the ban of domestic ivory trade this year - and the sale of rhino horn in the 1990s.

A sharp dresser
A flash of snow-white hair and a sharp suit, often adorned with a colourful handkerchief hanging from the top pocket, would accompany his slightly awkward stride into a room.

Esmond Bradley Martin was quietly spoken, but focused, energetic and utterly engaged in his life's work - collecting data on the illegal trade in wildlife.

Born in New York, he first arrived in Kenya in the 1970s when elephants were being killed for their tusks in huge numbers.

It was then he met the founder of Save the Elephants, Iain Douglas-Hamilton, who says the loss of his friend of 45 years was a terrible blow, both personally and professionally.

"Esmond was one of conservation's great unsung heroes," he says.

"His meticulous work into ivory and rhino horn markets was conducted often in some of the world's most remote and dangerous places and against intensely busy schedules that would have exhausted a man half his age.

"During his 18 years with Save The Elephants, Esmond - alongside his research partners - produced 10 crucial reports into legal and illegal ivory markets."

And his good friend and colleague Dan Stiles remembers how one night in 1999, Mr Martin had persuaded him over dinner to join him on a continental study of African ivory markets.

"It almost killed me - I was lucky to survive," Mr Stiles says, laughing fondly.

"I'd never done anything like it before, and it changed the course of my life."

Mr Stiles had been working with hunter-gatherer communities, but the two travelled across the African continent searching for any ivory that was for sale, asking how much it cost, meeting ivory carvers, finding out where the ivory came from and identifying the trade routes.

"Esmond was the single person who started quantifying statistics on the ivory and rhino horn trade. People before hadn't really done that. He was really a data man - a facts man.

"With the numbers and the prices it is possible to get a sense of what's going on with the markets and spot trends - he was responsible for that."

Chanzo: BBC
 
Wanachunguza huku kukiwa ulinzi hakuna unaotolewa na Serikali wakati hiyo kazi ni vita kubwa sana...
 
Kitendo cha kuua wageni wanaotusaidia ni kibaya sana hao wahalifu watafutwe Mpaka wapatikane na kupewa adhabu kali
 
Jamaa wenye vimacho vidogo watakuwa wanahusika na haya mauaji maana inasemekana hii bidhaa kwao ni dili
 
Kifo cha Mwanaharakati ni sehemu muhimu ya harakati yenyewe juu ya kile alichokuwa anakiamini na kukipigania.
Kwa kawaida hawa jamaa huwa wanaishi kama Kondoo kati ya Mbwa Mwitu. Ila nimejifunza kuwa wenyewe wanajua fika kuhusu kupatwa na lolote kwa wakati wowote. Kifupi tu, kazi ya Uanaharakati ni "Wito ulio ndani ya wito wenyewe" kabisa.
 
Usikute na wakuu wa nchi wanawajua wanaowaua! Mwaka jana kuna mwanaharakati wa nduvu aliuawa Bongo so tutarajie kama Uganda pia yupo mwanaharakati nayeye siku yake inakaribia!
 
Back
Top Bottom