Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,694
- 29,025
Nimedokezewa muda siyo mrefu bonge la Fursa huko kwa wanaume wagumu duniani Ujerumani.
Ni hivi Audi, Benz, VW na BMW kwa kushirikiana wanahitaji watu wa kutosha kufanya utafiti Na utalipwa euros laki moja.
Utafiti wenyewe wanajaribu kutafiti Ni jinsi gani Moshi wa gari unavyoathiri afya ya binadamu.
Watakaochaguliwa wanawekwa uso na mdomo wazi karibu na "egzost" chuma linawashwa kwa muda wa dakika 10 muda wote huo mdomo lazima uwe wazi. Baada ya hapo unadakishiwa euro laki moja.
Tatizo watu wa haki za binadamu wameshatonywa Na wamekuja juu kichizi Na kuonya endapo ikitokea hili wataandamna. Hii imelifanya zoez kusuasua kwa muda.
Wanadai utafiti huu walishaufanya kwa manyani Na sokwe ila hawajaridhika wanataka kuufanya kwa binadamu.
Ila Kama haidhuru "gegedo" na nguvu za kiume dah mbona POA tu. Laki moja Euro Ni ndefu Sana