Ninaona mwanga mkali huku maeneo mengine yakiwa ya mejaa kiza.Kwa kuwa sijui nilipo tumaini langu pekee ni kufuata mwanga ule niuonao.Natembea taratibu huku nikiwa na wasiwasi mkuu.Najiwa na kumbu...
Awali ya yote naomba ninukuu mifano kadhaa Viongozi wa Serikali walivyoonywa kwenye bibilia.
Nabii au mtoa maonyo siku zote alikuwa akitumwa wakati wa dhahama (crisis).
ila hawa jamaa walipeleka...
Ni baada ya kasi yenye kasi zaidi ya usain bolt ya awamu ya tano inayotetea wanyonge kuwaumbua majizi hayo ya songea
Jana taarifa ya habari ya ITV iliyaonyesha majizi hayo yanayojiita wakulima wa...
Kwa hizi sikukuu malalamiko ya kuwa pesa hamna me nabisha nilikuwa pale moshi foleni ilivyokamata moshi mjini sheli zimejaa foleni. Barabarani foleni tupu wakati narudi magari yamejaa...
Makampuni yanayotoa huduma za simu kama tigo, voda, airtel na halotel sasa yametuzoea vibaya, yanafanya kila wakitakacho na hawajali wanawaumiza wateja wao kwa kiasi gani, hali hii inapelekea...
Wakuu hapa tayari nimeshavurugwa.
Tayari nimeshapokea simu nne kutoka kwa kaka mkubwa, dada yangu, rafiki yangu (mtumishi wa Mungu) na Baba mkwe - kuwa kuna watoto wamefauru vixuri darasa la saba...
Ikiwa zibaki siku na masaa machache tuweze kukamilisha mzunguko mzima Wa mwaka 2017 , kuna matukio kadhaa yaliweza kutokea Tanzania ndani ya mwaka 2017 na yalichukua nafasi sana kwenye vyombo vya...
We must have seen this somewhere before...
Ezra and Thomas joined a company together a few months after their graduation from university.
After a few years of work, their Manager promoted Ezra...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza na bila kuweka fitna au unafiki wowote , ninaomba kuchukua nafasi hii kuwatakia heri ya sikukuu hizi maarufu sana duniani wapenzi , washabiki na wanachama...
Kwa mtu anayetumia barabara ya Nyerere huenda atakuwa ameliona au ameshawahi kukutana na dhahma hii hasa madereva. Unapotokea uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere unapofika eneo la vingunguti...
Huu ni muujiza toshaa kabisaa Aisee hii nchi sina hata la kusema eti tunakimbilia uchumi wa Kati halafu usafi tuu maduka yote yafungwe, mji usimamishwe na shughuli ya usafi
Duhhh
Eti faini...
Naomba mnisaidie,yawezekana mimi nawaza mawazo yangu yananipeleka kusiko.
Luis Shika ni mtu mwenye akili timamu,smart,anajua anachofanya na anafurahia anachofanya na jinsi alivyofanikiwa na upo...
Watu wengi wamekuwa wakitubeza sana vijana tunaokaa kwa mashemeji zetu kujishikiza kufuatilia michakato ikae sawa.
Sasa kuna wale ambao tumekaa sasa zaidi ya mwaka na michongo bado imegoma.
Huku...
Wakuu na Kwa wanaohusika,
Mimi ni mfuatiliaji wa mambo mbali mbali katika maeneo yanayonizunguka wakati na mahali popote.
Hivi karibuni nimesikia kilio cha wafanyakazi wa Usafi katika Majengo...
Wana bodi,
Kwanza nitoe pongezi kwa Serikali kwa ujenzi wa lile daraja la Nyerere, yaani limekuwa msaada mkubwa kama kiunganishi kwa wakazi wa kigamboni lakini pia ni kivutio kikubwa kutokana na...
Awali ya yote heri ya sikukuu za mwisho wa mwaka.
Ninapata ukakasi mkubwa sana kwenye utendaji wa jeshi letu pendwa la police.Sijajua kwa nini hawataki kuenda na pamoja na falsafa za mhe. raisi...
Ni maajabu sana!
Ujue kuna nyakati tafakarishi anazopitia binadamu zinashangaza sana! kuna watu wakifulia utawahurumia wanavyotia huruma, kuna kipindi kile ambapo mwanaume anapigika na kuishiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.