mkuzo
Member
- May 8, 2014
- 52
- 49
Mzee wetu mpendwa Kingunge Ngombare Mwiru inasemekana katika nyakati za mwisho alitubu na kuukubali ukatoliki. Mzee Kingunge amezikwa kwa ibada iliyoongozwa na Katekista ameshindwa kusomewa misa takatifu kwasababu ya kutokushiriki katika kuuishi ukatoliki enzi ya uhai wake.
Hawa Makasisi wa kikatoliki inaonekana wako strictly sana katika kusimamia wanachokisema.
Hawa Makasisi wa kikatoliki inaonekana wako strictly sana katika kusimamia wanachokisema.