pemgtoonet.com
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 880
- 618
Jana line ya tigo kwangu muda mwingi ilikuwa inaandika emergency muda mwingi. Na jioni wakatuma msg kuomba radhi.
Leo line ya voda ipo emergency muda mwingi,mwenye taarifa atujuze nini kinaendelea. Au ndio kusema wanatest mitambo ili usajili kwa alama za vidole,muda ukiisha waziblock line zetu?
Leo line ya voda ipo emergency muda mwingi,mwenye taarifa atujuze nini kinaendelea. Au ndio kusema wanatest mitambo ili usajili kwa alama za vidole,muda ukiisha waziblock line zetu?