Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Ofisi ya Uhamiaji mkoani Kilimanjaro imeagiza wageni 94 wasiokuwa na kibai kuondoka mara moja nchini na kurudi endapo watakamilisha taratibu za uhamiaji Wageni hao ni wakenya 71, Wanyarwanda 7...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jana nilikua nasikiliza redio nikasikia taarifa moja ya serikali ya Uingereza haiwatambui wakimbizi kutoka Tanzania sijajua sababu ni nini lakini si Tanzania tu kuna baadhi ya nchi nyingine kama...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Gesi inanuka kila kona je afya za wakazi wa huku zipo hatarini....
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Msanii wa Hip Hop nchini Rashid Makwiro 'Chid Benz anashikiliwa tena na jeshi la polisi mkoani Dodoma kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya na hii inakuwa mara ya tatu kwa msanii huyu kukumbwa...
3 Reactions
66 Replies
17K Views
UkitazamaTV, kusikiliza radio ama kusoma magazeti ukakutana na habari inayolihusu jeshi letu la police lazima, habari hiyo lazima itakuwa ni ya kihalifu ama kutoa makatazo ama matamko. Mimi...
12 Reactions
64 Replies
7K Views
Chama hakijulkan nan kapewa ridhaa ya kuwa msemaj wa chama Kila mtu anatafuta pa kupatia kiki ili asipotee ktk kpnd hiki cha uncle Magu Kila mtu anataka kusemea jambo Mwenzao kapata zali la...
0 Reactions
1 Replies
778 Views
Wana jamnvi Kwanini hawa wenye makampuni kama ya TATU MZUKA... wameshindwa kuwa na link ya kulipia hela ya kucheza bila ya kupitia mitandao ya simu, maana ukilipia kwenda TATU MZUKA... lazima...
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Hakuna kitu kinaitwa utamaduni wa Mtanzania. Kumekuwa na tabia ya wananchi kuamini kuwa Tanzania ina utamaduni na hasa pale jambo fulani linapotokea au katika njia ya kuhamasisha, kutetea na hata...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau Benki inapokua inafilisiwa, Deposit Insurance Board (DIB) ambayo ipo kwa mujibu wa kifungu cha 36 na 37 cha Sheria Na. 5 ya Mabenki na Taasisi za Fedha ya mwaka 2006, hufanya utaratibu wa...
4 Reactions
33 Replies
7K Views
Kumekuwa na tabia kwa hawa wafugaji wa kimasai kwa hapa Kilimanjaro ukiwa unatoka boma ng’ombe kuelekea Arusha sana sana boma via kia & boma to Arusha kuna punda wanatuharibia Magari sana arafu...
0 Reactions
0 Replies
589 Views
Huu uzi nlitaman niuite "Kukiri Kwangu" au "My Confession"... Turudi kwenye mada..... Wale wezangu ambao tuna story ambazo uwa zinasutu nafsi zetu karibuni tujadiliana..... Nianze na ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani, natambua umuhimu wa askari wetu katika kuongoza magari. Lakini napata shida kujua vigezo wanavyotumia kuweka upande mmoja zaidi ya nusu saa hadi saa nzima, bila kujali kuwa, kuna wanaowahi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa wale ambao walikuwa wanapenda sana kusikia nini kimetokea katika hayo maeneo na kufurahi naona sasa hawana tena la kusema au kuchangia katika vijiwe vyao kwani vyombo vya ulinzi na usalama...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakuu, Imefahamika bila shaka watu waliofanikiwa au matajiri ni watu wenye nguo chache sana za kuvaa. Hii ni kwa sababu wapo bize sana na mambo ya biashara na maisha na hawana muda wa kupoteza...
11 Reactions
34 Replies
6K Views
Si mara moja kukuta mtu akichanganya kati ya wanyama hawa wawili, Chui na Duma (Cheetah) anapowaona kwenye hifadhi mbalimbali hapa nchini. leo nimeona nilete kwako tofauti zako ili usiendelee...
0 Reactions
71 Replies
47K Views
Tumeshuhudia Rais wetu Magufuli wakati wa sherehe za mwaka Jana za Uhuru wa 9 Disemba, akifanya tukio lililoshangaza dunia, kwa kuwasamehe wanamuziki Nguza Viking na mwanaye Papii Kocha, ambao...
14 Reactions
102 Replies
8K Views
Tangia kuwnzishwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini mwaka 1992 na kupelekea kuanzishwa kwa vyama vingi, mazingira ya kuinuka na kustawi kwa upinzani hayajawahi kuwa bora kama ilivyo hivi leo...
3 Reactions
4 Replies
976 Views
Huyu mzee bana hanaga dini na wakati wake, enzi zake huapishwa kwa kunyoosha tu mkono kwakuwa haamini katika mungu. Ugua pole mzee wetu
0 Reactions
43 Replies
8K Views
Kumekuwa na imani kwamba kama utamtendea mwenzio ovu basi nawe litakupata kama si wewe bsi uzao wako wao wanaita "karma" sasa unakuta unataka lipiza kisasi, ama mtu kakukera unataka umwoneshe...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Kutokana na hali ya mvua kwa miaka yote kuleta madhara makubwa katika barabara ya Morogoro, eneo la bonde la mto Msimbazi, hasa eneo la jangwani, na kusababisha shida kubwa kwa watumiaji wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom