vous
JF-Expert Member
- Dec 15, 2017
- 657
- 649
Chama hakijulkan nan kapewa ridhaa ya kuwa msemaj wa chama
Kila mtu anatafuta pa kupatia kiki ili asipotee ktk kpnd hiki cha uncle Magu
Kila mtu anataka kusemea jambo
Mwenzao kapata zali la kuingia whitehouse basi wao wamemaind wamesahau kuwa kipind cha "rais dhaifu" walkunywa gahawa sana na sharubati mjengon
Mwenzao kusifia imekuwa tabu eti angewashirikisha viongozi wa chama kwanza ilhal kwny kwny kukosoa haihitaj kuwashirikisha viongozi wa chama
Hao hao wanaosema chama chao kina heshim mising ya demokrasia na uhuru wa kutoa maon ndo hao hao wanaomuona mamvi kazingua kumsifia uncle magu
Kwao wao demokrasia na uhuru wa kutoa maon n kukosoa,kuzodoa,kudhihak,kufedhehesha,kutukana
Waliyemuita fisad kawa rais wa mioyo ya watanzania
Waliyemuita mzee mwenye hekima na busara,mjuz wa demokrasia tanzania leo kawa msaliti,mdhalilishaj n k
Chama cha kambare
Kila mtu anatafuta pa kupatia kiki ili asipotee ktk kpnd hiki cha uncle Magu
Kila mtu anataka kusemea jambo
Mwenzao kapata zali la kuingia whitehouse basi wao wamemaind wamesahau kuwa kipind cha "rais dhaifu" walkunywa gahawa sana na sharubati mjengon
Mwenzao kusifia imekuwa tabu eti angewashirikisha viongozi wa chama kwanza ilhal kwny kwny kukosoa haihitaj kuwashirikisha viongozi wa chama
Hao hao wanaosema chama chao kina heshim mising ya demokrasia na uhuru wa kutoa maon ndo hao hao wanaomuona mamvi kazingua kumsifia uncle magu
Kwao wao demokrasia na uhuru wa kutoa maon n kukosoa,kuzodoa,kudhihak,kufedhehesha,kutukana
Waliyemuita fisad kawa rais wa mioyo ya watanzania
Waliyemuita mzee mwenye hekima na busara,mjuz wa demokrasia tanzania leo kawa msaliti,mdhalilishaj n k
Chama cha kambare