desertfox
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 347
- 244
Kutokana na hali inayo endelea hapa Dar es Salaam ya watu kukamatwa kutokana na mavazi walio vaa napendekeza yafuatayo.
>Serikali itoe mwongozo wa mavazi yanayopaswa kuvaliwa na raia ili kuepuka usumbufu wa kukamatwa bila kujua.
>Kutokana na kuibuka kwa mavazi ya aina tofauti wanaume wavae kanzu na wanawake majuba hii itaondoa mkanganyiko.
>Rais (kwakutumia presidensial decree) atangaze rasmi tuvaeje na tunyoeje kwamaana wengine hatuna mwongozo mnyoo upi ni halali kisheria au si wa kihuni upi ni uhuni.
> Turudie nguo za asili mashuka misumbiji na kaniki.
Kadhia ya kukamatwa bila kujua inafanya tushindwe ata kwenda kazini kwa amani.
>Serikali itoe mwongozo wa mavazi yanayopaswa kuvaliwa na raia ili kuepuka usumbufu wa kukamatwa bila kujua.
>Kutokana na kuibuka kwa mavazi ya aina tofauti wanaume wavae kanzu na wanawake majuba hii itaondoa mkanganyiko.
>Rais (kwakutumia presidensial decree) atangaze rasmi tuvaeje na tunyoeje kwamaana wengine hatuna mwongozo mnyoo upi ni halali kisheria au si wa kihuni upi ni uhuni.
> Turudie nguo za asili mashuka misumbiji na kaniki.
Kadhia ya kukamatwa bila kujua inafanya tushindwe ata kwenda kazini kwa amani.