Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Wao wameanzisha Uzi wao ukielezea Vituko vya mwananyamala Mwisho wa siku wamemalizia na Dar nzima kwa ujumla. Na sisi wa mikoani Tulete vituko na matukio yetu ya Huko, Kama,ubabe...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
The list of bans imposed by Tanzania’s populist president just keeps growing Abdi Latif Dahir January 22, 2018 Tanzania’s populist president John Magufuli strode into office in late 2015...
0 Reactions
0 Replies
430 Views
kama kichwa cha habari kisemavyo kinachotakiwa ni ku update whatsapp yako ,enjoy
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mdororo wa uchumi ni hatari ndugu zangu. Nimejulishwa na mmoja wa wafanyakazi wa redio hiyo kutoka huko Kagera kuwa Redio maarufu iitwayo Bukoba Radio Station (92.5) iliyoko wilaya ya Bukoba...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Kijana mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Boniface mkazi wa Mwananyamala kwa Msisiri anashikiliwa na jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa kuiba masanduku ya kuzikia (majeneza) mawili (pichani)...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari ndugu, Kheri ya Mwaka mpya, Nilikuwa na ndugu zangu hapa tunarukaruka na kusherekea kuhusu mwaka huu mpya, ila ghafla nikajiwa na wazo kichwani ambalo kiuhalisia limeanza kuniumiza. Je Mtu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu, Habari za majukumu mbali mbali. Kama unamfahamu huyu jamaa njoo inbox kuna ujumbe wake wa muhimu ili uweze kumfikishia. Kuna mahali amesahau kitambulisho chake cha Uraia wa Tanzania Bara...
0 Reactions
3 Replies
875 Views
BAADHI ya majirani na polisi wa Kituo cha Polisi cha Mabatini jijini Dar, wameibuka na kudai kuwa kutokana mtaro uliopo kituoni hapo kufumuka na kutoa maji machafu ya chooni yakiambatana na...
0 Reactions
3 Replies
763 Views
Nmejitathmini maisha yangu na jinsi nilivyo busy kutafuta ugali nimegundua dhambi niliyonayo ni 1 tu ya uzinifu ila zingine sina kabisa. Nashauri na nyie wakuu mjitathmini, kuna uwezekano...
0 Reactions
1 Replies
883 Views
KAMANDA WA POLISI MKOA WA GEITA, MPONJOLI LOTSON. MJANE mkazi wa kijiji cha Kamhanga, wilaya na mkoa wa Geita amefariki dunia baada ya kukatwakatwa na panga kichwani na mwanaye usiku na kisha...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Huyu amewahi kuwa mbuge wa Tarime kabla haijagawanywa na kuwa Tarime na Rorya. Kwa sasa simsikii kabisa sijui yuko wapi. Je, ni mzima ama alisha dead?
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwenye taarifa za habari za ITV za saa mbili usiku, Jumatatu (22/01/2018) kulikuwa na habari za kugundulika kiwanda cha nyavu HARAMU za UVUVI huko Arusha. Kwanza nitoe pongezi kwa mafanikio ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Why do people distrust atheists? A recent study we conducted, led by psychologist Will Gervais, found widespread and extreme moral prejudice against atheists around the world. Across all...
0 Reactions
5 Replies
899 Views
  • Poll Poll
Katika siku zijazo kuanzia sasa hadi tarehe 7 Februari Mwezi utakuwa jirani na Sayari tanzo tunazoweza kuziona kwa macho moja kwa moja. (Angalia picha ya anga ya alfajiri iliyoambtishwa) - Mwezi...
8 Reactions
42 Replies
12K Views
Hatari kama tangu umezaliwa hujawahi kujifanyia tathmini wewe mwenyewe kusubiri mpaka watu waone mapungufu yako wakwambie ndio ubadirike huu ni uvivu wa kufikiri kiwango cha lami.We ukiamka ni...
0 Reactions
2 Replies
691 Views
Kama Rais wetu pamoja na Serikali yake wakifanikisha kutuingizia zaidi ya 2000 MW za Umeme kwenye Gridi yetu ya Taifa, basi kama wakipenda na kukubali kuendelea kuongoza baada ya 2025 na iwe...
9 Reactions
78 Replies
6K Views
Wakuu natumai mko salama. katika Tafakuri yangu nimekuwa najaribu kupita kwenye kumbukumbu zangu na matukio ya Nchi hii na watu wake. nikarudi mpaka miaka ya 1980. Kulikuwa na shirika la chakula...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
UKOSEFU WA DARAJA CHANIKA - MGEULE. Imani yangu ni Kwamba kero hizi tunazoziweka humu hupata ufumbuzi wake ili kuwatoa watch Kwenye adha hizi. Ukifika CHANIKA Buyuni kuna Mtaa unaitwa Mgeule...
1 Reactions
0 Replies
758 Views
Mpaka hivi sasa imepita miaka ………tangu nchi yetu ilipoanzisha rasmi vita dhidi ya ukimwi na hivyo kuanzishwa kwa taasisi maalum inayoendelea navita hiyo Kupitia mikakati na program mbalimbali hii...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Serikali ya Israel na Tanzania zimesaini mkataba wa makubaliano wa mwaka mmoja wa ujenzi wa kitengo cha matibabu ya dharura pamoja na tiba ya magonjwa ya mifupa katika hospitali ya Benjamini Mkaba...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom