Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,958
Nmejitathmini maisha yangu na jinsi nilivyo busy kutafuta ugali nimegundua dhambi niliyonayo ni 1 tu ya uzinifu ila zingine sina kabisa.
Nashauri na nyie wakuu mjitathmini, kuna uwezekano wanaoenda peponi ni wengi sana kuliko tunavyotishwa makanisani
Nashauri na nyie wakuu mjitathmini, kuna uwezekano wanaoenda peponi ni wengi sana kuliko tunavyotishwa makanisani