Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Kama Rais wetu pamoja na Serikali yake wakifanikisha kutuingizia zaidi ya 2000 MW za Umeme kwenye Gridi yetu ya Taifa, basi kama wakipenda na kukubali kuendelea kuongoza baada ya 2025 na iwe hivyo, lkn kama wakipenda wenyewe kwani hiyo siyo kazi ya kitoto kwa nchi ya Kiafrika, Ethiopia wameweza lkn kwa ungangari haswa, hivyo kwangu mimi hiyo ni litmus test , kama kweli tukijenga na kuzalisha umeme wa MW 2000 basi najua tumeshatoka na tutaitafuta double digit economic growth.