Kama ulikua hujui kuwa kua Dr dogoli AMEWAHI KUTAPELIWA PIKIPIKI KIZEMBE wacha nikufahamishe;-
Dogoli huyu kabla ya kuwa daktari,
Amewahi kufanya kazi tofauti tofauti kama ilivyo kwa vijana...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 hadi 35 amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na Polisi, akidaiwa kuingia katika Benki iliyopo Rock...
Vitabu vya Agano Jipya viliandikwa na watu waliokuwa na ufahamu mzuri wa Kigiriki cha Koine, kwa hivyo kuna uwezekano mkubwa kwamba walizungumza Kigiriki katika maisha yao ya kila siku kama lugha...
Nimepita mikoani hususani vijijini ila nilichokutana nacho ni vilio vya wakulima kila kona. Hali ya upatikanaji wa mbolea imekuwa ni ya shida mnoooo!!! Kila maduka ya mbolea utakayopita unaambiwa...
Nimekuwa nikikwazwa sana na huduma katika Tawi la CRDB TFA Arusha, hasa linapokuja suala la muda wa kuhudumiwa. Kuna wakati unaenda benki kwa ajili ya kufanya huduma rahisi tu kama kuweka fedha...
Muonekano wa Shule ya Msingi Grace Mesaki iliyopo katika Kijiji cha Singa, Kata ya Kinampundu, Wilayani Mkalama.
Mradi huu wa ujenzi wenye thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 300 umeboresha kwa...
Mweye muda someni hiyo thesis mpate mwanga wa sheria ya kutunza siri za wateja bank rom commonwealth jurisdiction of which we borrow our laws/precedents.
Najua ukitaka kuwaficha watanzani kitu...
Kituo cha Sheria na haki za Binadamu kimeungana na wadau wengine kuadhimisha siku ya Demokrasia Duniani ambayo inaadhimishwa leo September 15, 2026.
Katika Maadhimisho hayo unafanyika mjadala...
JE, NDEGE INARUDI NYUMA?
Ndege nyingi za sasa zina mfumo wa kurudi nyuma #reverse' ambao mara nyingi hutumika kupunguza kasi wakati ikitua (#Braking).
Kwa baadhi ya ndege za 'Mapangaboi'...
https://www.youtube.com/live/98jEfK7jGzk?si=bb1XzVr-LAZ-EwRF
LIVE: Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Septemba 15, 2026 anazungumza na wananchi wa Jimbo la Bariadi Vijijini, Mkoani Simiyu...
Wakuu mimi kama kijana ninayechipukia katika kuelekea njia ya mafanikio nimejibana bana account yangu ya mpesa ina laki tano, kama mjuavyo nikisema niidumbukize yoote katika biashara ni kama kuBET...
Salamu wakuu aisee before sijachukua steps nilisoma humu JF watu wengi wanasema utajiri wa ndagu haupo n story tu nikakaza fuvu nikasema wacha nijaribu nimekuta story zile zile zile tu aisee...
Majeneza ya Kukodi (Casket Rental).. Haya ni sawa na kusema ni 'used'
Kitu pekee kitu pekee sana na chenye faida kubwa lakini hakipatikani kwa urahisi nchini Tanganyika.. Hiki ni kile...
Barabara ya Mwenge, ambayo ni miongoni mwa makutano makuu na muhimu zaidi jijini Dar es Salaam, inaendelea kushuhudia msongamano mkubwa wa magari, hasa wakati wa asubuhi na jioni. Eneo hili...
It's me JamiiForums member: Nina Akili Ndogo Sana.
Kama kadi ya gari inapigwa photocopy pamoja na kuwekwa muhuri (stamp duty) ya TRA, kwanini kitambulisho cha NIDA kisipigwe photocopy na kuwekwa...
Habari za wakati huu wadau,
Mimi ni dereva binafsi sipingani na mpango wa suala la ukataji wa pointi katika leseni za udereva, lakini suala hili limekuwa na lengo la kukandamiza upande mmoja tu...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amekataza tabia ya wagonjwa wanaohitaji huduma ya haraka kuombwa fedha za mafuta ili kuwawahisha hospitalini kwa kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.