Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Hivi doto magari anajielewa kweli? Yaani unakuwa chawa na kuomba hela kisa kupamba watu na mafanikio yao kweli? Sasa Maybach sio yako, unasifia wanaume wenzako na bado, unatambia wanaume...
8 Reactions
83 Replies
532 Views
Kucheza kamari - Kubeti mpira siku zenye mechi, Kindege, n.k. Pombe Sex Punyeto Sigara Bangi Ugoro Pombe nimewahi kushuhudia kuna jamaa hio siku arosto zilimkamata sana na hana pesa, akili...
14 Reactions
63 Replies
788 Views
Haimaanishi ilikuwa ni lazima kijana ufanye punyeto katika processs ya ukuaji wako lakini pia haimanishi ilikuwa sio jambo la kawaida kufanya punyeto, ni kitu cha enzi na enzi, Lakini kwa sasa...
5 Reactions
10 Replies
400 Views
Mimi ni mtu wa kipekee, na hii ndiyo sababu nimeamua kueleza jambo hili muhimu kwa watu wenzangu. Napenda sana kujifunza; sikupenda kamwe kuwa mjuaji au mtu mwenye kiburi cha maarifa, hivyo mimi...
9 Reactions
22 Replies
212 Views
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 20+ naweza kujiita ni muathirika wa tukio ambalo naona linaelekea kuwa la “kitapeli” uliotendwa na kampuni inayojitangaza kutoa fursa za kazi na mafunzo nje ya...
17 Reactions
69 Replies
752 Views
Wana JF, kumekuwa na kipeperushi hiki kinasambaa mitandaoni na kwenye magazeti (kama inavyoonekana hapo chini) kikionesha tangazo la mnada wa hadhara wa mali za kampuni kongwe ya uchapishaji...
8 Reactions
31 Replies
506 Views
Tungekuwa na Taasisi imara za kupambana na Uhujumu Uchumi na Utakatishaji fedha, basi Diamond na Mke wake wangekuwa washahojiwa. Japo waelezee waloleta hela wana uhusiano gani. Wasanii wa bongo...
12 Reactions
23 Replies
455 Views
Kuna mgahawa ulikuwa classic sana. Ile sehemu wanafanya renovation na pamefungwa... Aisee nimejikuta napata hasira, maana msosi ulikuwa classic sana. Sasa nianze tena kutafuta mahala pengine...
3 Reactions
23 Replies
170 Views
Mfumo wa maisha yetu kama watanzania unafikirisha sana ,sasa Huwa najiuliza .ni nani aliturithisha uongo, hapa nitatoa mifano kadhaa 1.mtu akikuomba chenji ukamwambia ninayo ila inanitosha...
13 Reactions
49 Replies
480 Views
Wewe umetoa mchango gani kumtoa kijana humu kwenye sifuri na kwenda kwenye ndoto zake? Nina vijana watano humu wanajijua wamefanikiwa kupitia mimi, kama wapo online watakuja. Note: achana na...
27 Reactions
223 Replies
1K Views
Baada ya 17/8/2026, tamko la Mkuu wa Mkoa lilielekeza magari kurudi Mbezi Luis Stand. Kampuni zote zimetii, isipokuwa “kampuni pendwa 3” ambazo hazijatajwa majina, zimeruhusiwa kuendelea kuanzia...
8 Reactions
20 Replies
397 Views
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umeeleza kwamba tokea Tundu Antiphas Lissu alipokamatwa kumekuwepo na vitendo ambavyo vimeambatana na mazingira ya ukiukwaji wa haki...
0 Reactions
0 Replies
15 Views
Habari zenu wana JF wenzangu. Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon. Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile 1)...
45 Reactions
482 Replies
49K Views
Wakati joto la uchaguzi haramu 2025 limepamba moto, member mwenzetu johnthebaptist alianza kuonesha kupingana na upande aliokuwa anautetea (watawala) kupitia baadhi ya maandiko yake. Leo...
14 Reactions
25 Replies
428 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Malori Nchini Tanzania (TATOA), Elius Lukumay, amesema wamiliki wa malori wako tayari kuyapaki magari yao endapo mamlaka zitaendelea kuwachukulia hatua...
6 Reactions
31 Replies
399 Views
Mjini shule. Ndivyo unavyoweza kusema. Ukija mjini njoo na akili usije na jembe. Huku mjini ni mahali pa kutumia akili zaidi kuliko nguvu. Kuna aina mpya ya utapeli imeibuka hapa mjini kupitia...
18 Reactions
99 Replies
1K Views
Haji manara apandwa na sukari studio. DIWANI WA KARIAKOO KAPANIC
10 Reactions
23 Replies
373 Views
Nenda kwenye mashamba ambayo wamevuna mahindi Watu hawawezi kuvuna perfect Kwahiyo uanze kuokota mahindi Na hutokosa gunia 20 Uza HARAKA kila Gunia 50000
3 Reactions
5 Replies
59 Views
Makampuni hayatoi mikataba siku hizi,mtu unafanya kazi kama kibarua yaani unalipwa kwa siku. Hakuna benefits zozote kama bima ya afya wala mifuko ya hifadhi. Kwa makampuni yanayotoa mikataba ni...
2 Reactions
4 Replies
47 Views
Mkoa wa Dar es Salaam umeongoza kwa matumizi na idadi ya vifaa vya kujipima maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) vilivyosambazwa nchini mwaka 2025 huku zaidi ya vifaa 330,000 vikifikishwa kwa...
6 Reactions
9 Replies
111 Views
Back
Top Bottom