Mambo ya ndagu nimeamini hakuna ukweli

Mambo ya ndagu nimeamini hakuna ukweli

Omnilabeltech

Member
Joined
Jul 26, 2026
Posts
32
Reaction score
53
Salamu wakuu aisee before sijachukua steps nilisoma humu JF watu wengi wanasema utajiri wa ndagu haupo n story tu nikakaza fuvu nikasema wacha nijaribu nimekuta story zile zile zile tu aisee Unaambiwa hivi ukifika hapo hapo unaona vitu ila ukifika hakuna jipya unaanza kupigwa kalenda mara fanya hili mara fanya lile .
 
Utajiri wa ndagu upo na ni harisi kabsa, sema kwa wakati huu kumpata mtaalamu wa kwel ni ngumu sana, zama hiz matapel tu ndo wamejazana!
 
Kijana una moyo?? Nitafute vzr c uku jf bali nitafute nilipo .mm nakupeleka moja kwa moja kwa mtaalamu kwa nauli yangu na km kuna gharama zzt nyingine tukifika uko ntakulipia .alafu ufanyiwe dawa ya aina unayotaka ww alafu urud mjin utanipa majibuu...sharti la kwa nijue kwel una moyo wakutaka mafanikio ya haraka ..NITAFUTE ILA C JF .nitafute ujuavyo ww.
 
Sina uhakika kwa kweli
Ndagu ni harisi kabsa!

Kama upo kanda ya ziwa ulizia kuna mtu mmoja ni maarufu na anapesa, huyu bwana awewahi kufanya kituko cha mwaka (alikula ndagu, akambaka dada ake toka nitoke sokoni siku wa gurio live bila chenga akamvua kabsa na akaichapa), baada ya hapo jamaa alipata pesa sana na alimporomoshea yule dada yake bonge la mjengo! Imepita miaka mingi ila jamaa bado anapesa tu! Haya mambo yapo
 
Kijana una moyo?? Nitafute vzr c uku jf bali nitafute nilipo .mm nakupeleka moja kwa moja kwa mtaalamu kwa nauli yangu na km kuna gharama zzt nyingine tukifika uko ntakulipia .alafu ufanyiwe dawa ya aina unayotaka ww alafu urud mjin utanipa majibuu...sharti la kwa nijue kwel una moyo wakutaka mafanikio ya haraka ..NITAFUTE ILA C JF .nitafute ujuavyo ww.

Unanipa mtihani mm nakuchek pm naomba ureply
 
Kijana una moyo?? Nitafute vzr c uku jf bali nitafute nilipo .mm nakupeleka moja kwa moja kwa mtaalamu kwa nauli yangu na km kuna gharama zzt nyingine tukifika uko ntakulipia .alafu ufanyiwe dawa ya aina unayotaka ww alafu urud mjin utanipa majibuu...sharti la kwa nijue kwel una moyo wakutaka mafanikio ya haraka ..NITAFUTE ILA C JF .nitafute ujuavyo ww.

Unanipa mtihani mm nitakufta how
 
Ndagu ni harisi kabsa!

Kama upo kanda ya ziwa ulizia kuna mtu mmoja ni maarufu na anapesa, huyu bwana awewahi kufanya kituko cha mwaka (alikula ndagu, akambaka dada ake toka nitoke sokoni siku wa gurio live bila chenga akamvua kabsa na akaichapa), baada ya hapo jamaa alipata pesa sana na alimporomoshea yule dada yake bonge la mjengo! Imepita miaka mingi ila jamaa bado anapesa tu! Haya mambo yapo

Hiyo kali
 
Kijana una moyo?? Nitafute vzr c uku jf bali nitafute nilipo .mm nakupeleka moja kwa moja kwa mtaalamu kwa nauli yangu na km kuna gharama zzt nyingine tukifika uko ntakulipia .alafu ufanyiwe dawa ya aina unayotaka ww alafu urud mjin utanipa majibuu...sharti la kwa nijue kwel una moyo wakutaka mafanikio ya haraka ..NITAFUTE ILA C JF .nitafute ujuavyo ww.

How i can find you story zinaanza vile vile mzee Ungesema nikupe namba kama n kweli usemayo
 
Wee umekutana na matapeli, wataalamu wako maporini ndani ndani, sio mjini, poleeee.
Km uko serious njoo nikupelekee chimbooo,
 
Kijana una moyo?? Nitafute vzr c uku jf bali nitafute nilipo .mm nakupeleka moja kwa moja kwa mtaalamu kwa nauli yangu na km kuna gharama zzt nyingine tukifika uko ntakulipia .alafu ufanyiwe dawa ya aina unayotaka ww alafu urud mjin utanipa majibuu...sharti la kwa nijue kwel una moyo wakutaka mafanikio ya haraka ..NITAFUTE ILA C JF .nitafute ujuavyo ww.

Ataenda kukuchomesha, kuna mtu nili m connect sehemu, aliyoyafanya anabaki kulaumu. Watu wa hivyo wengi hawako serious. Wanajaribu utafiti tu.
 
Back
Top Bottom